Mkwai
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 306
- 96
Choose your first point, you have to make tough decision.
Wahusika wakuu ni ninyi wawili, ila kiutamaduni wetu sisi waafrika ndio unakuta tuna taratibu zingine za kimila huwa zinapaswa kufuatwa kutokana na jamii au kabila husika. Hapo hakuna kizuizi cha maana ambacho kitapelekea kutokutimiza azma yenu, endelea na taratibu kama kawaida fungeni ndoa (hili ndio la msingi). Kwa sisi tunaotoka vijijini hivyo ni vizingiti vya kawaida, mara shangazi kasusia harusi au sijui nani; na ukifatilia unakuta ni ndugu wa mbalimbali ndio wanaleta vikwazo kukwamisha swala hili la neema. Ushauri wangu endeleeni na mpango wenu wa ndoa na wife to be ndio aonyeshe msimamo wa hali ya juu kwa upande wa ndugu zake.
Wahusika wakuu ni ninyi wawili, ila kiutamaduni wetu sisi waafrika ndio unakuta tuna taratibu zingine za kimila huwa zinapaswa kufuatwa kutokana na jamii au kabila husika. Hapo hakuna kizuizi cha maana ambacho kitapelekea kutokutimiza azma yenu, endelea na taratibu kama kawaida fungeni ndoa (hili ndio la msingi). Kwa sisi tunaotoka vijijini hivyo ni vizingiti vya kawaida, mara shangazi kasusia harusi au sijui nani; na ukifatilia unakuta ni ndugu wa mbalimbali ndio wanaleta vikwazo kukwamisha swala hili la neema. Ushauri wangu endeleeni na mpango wenu wa ndoa na wife to be ndio aonyeshe msimamo wa hali ya juu kwa upande wa ndugu zake.