Jamani wabunge this is too much....

Tuandamane

JF-Expert Member
Feb 2, 2008
1,220
52
Heshima mbele wana JF

Nimekereka mpaka nimeona ni bora nije mbele yenu ile tujadili hili,

Bahati nzuri nna kalikizo kadogo na kamenisaidia kuweza kupata muda wa kuangalia bunge moja kwa moja (live), Kinachonikera na wabunge wetu hasa wa CCM ni uzembe na upuuzi wa mambo, wabunge wamekuwa not attentive bungeni na zaidi ya yote naona wanazurura tuu nje ya bunge kana kwamba hawana la kufanya, labda kama kuna mwenye kujua kama hawa wabunge wana ssb za kufanya hivo kinyume na ninachokiona ni uzembe basi anisaidie

Jana jioni wakati session ya pili imeanza namuona mama Six na J Kapuya wanapiga tuu stori nje.. kama wanataniana vile

wabunge wengine wakiwa ndani wanapiga tu stori wengine wanasoma magazeti (bahati mbaya aliekuwa akisoma gazeti zikumjua ni nani, ingawa ni mwanaume) leo live MARY NAGU na WAZIRI MKUU... Just imagine WAZIRI MKUU PINDA wamegeukiana kabisa wanapiga michapo kana kwamba hawako bungeni

J Komba ndo kabisa amekaa back Bench yeye ndo kabisa kageukiana na mwana mama gani anakula sijui nini,

Mwengine ana soma sms

Swali: hivi hawa wabunge wanajua walicho kifata hapo?? hili swali nataka alijibu PINDA

nadhani ni dharau tuu maana hawawezi kuwa wanapuuzia hivi vikao wakati wanajua tuliowachagua tunawaona live

Oni: Napendekeza uwekwe giant screen pale mbele ili wajione japo wabehave kidogo maana wanaonekana wamesha kuwa masugu

These guys are not serious at all...........
 
....wabunge wamekuwa not attentive bungeni na zaidi ya yote naona wanazurura tuu nje ya bunge kana kwamba hawana la kufanya, labda kama kuna mwenye kujua kama hawa wabunge wana ssb za kufanya hivo kinyume na ninachokiona ni uzembu basi anisaidie

Jana jioni wakati session ya pili imeanza namuona mama Six na J Kapuya wanapiga tuu stori nje.. kama wanataniana vile
Hili kweli linakera. Bahati nzuri wanasa video wanawanasa na kuwaonesha watanzania nini wanachofanya wabunge wao!

wabunge wengine wakiwa ndani wanapiga tu stori wengine wanasoma magazeti (bahati mbaya aliekuwa akisoma gazeti zikumjua ni nani, ingawa ni mwanaume) leo live MARY NAGU na WAZIRI MKUU... Just imagine WAZIRI MKUU PINDA wamegeukiana kabisa wanapiga michapo kana kwamba hawako bungeni
Hii nami niliiangalia nikaona kweli wabunge hawako serious! Inasikitisha, Zitto wafahamishe wenzio hii imekaa vibaya!

J Komba ndo kabisa amekaa back Bench yeye ndo kabisa kageukiana na mwana mama gani sijui anakula sijui nini,

Mwengine ana soma sms
Yote haya mimi niliyaona nikabakia kucheka.

nadhani ni dharau tuu maana hawawezi kuwa wanapuuzia hivi vikao wakati wanajua tuliowachagua tunawaona live
Labda kuna baadhi ya wenzao wanajua hawana points ndo maana hawataki hata kuwasikiliza. Au ndio uwakilishi wenyewe.
Oni: Napendekeza uwekwe giant screen pale mbele ili wajione japo wabehave kidogo maana wanaonekana wamesha kuwa masugu
Hapo StarTv wasaidie tuone labda kama inaweza kusaidia.

These guys are not serious at all...........
Nakuunga mkono katika hili pia. Lakini tusiandamane :)
 
Jibu la kwa nini wabunge wengi hawakuweza kuishtukia bajeti feki.
 
Waturejeshee watu wetu nyumbani tuanze upya.
Na wao unaweza kuta wamechoshwa na zecomedy...Ama pia labda ni kweli wameamua kutuona wabongo majuha.
 
Mngesikiliza Bungeni leo au kwa wanaoona live natumaini wamejionea upuuuzi mwingine
wabunge wa chama changu wanasimama na kumpongeza mkulo kwa uozo wa ufeki wa vitabu vya bajeti, halafu mbunge mmoja ndo katoa kali zaidi anamshauri mkulo asikose usingizi na akiweza aendelee kutengeneza watoto (wazembe) asisikilize kelele za wapinzani.

Nakubaliana na signature ya mwanabodi mwenzetu kuwa IPO SIKU SHETANI ATASEMA ANAONEWA NA WATANZANIA WATAPIGA MAKOFI......

Naunga mkono hoja ya tuandamane mia kwa mia (wanafiki wasema ndiooooooo)
 
Hivi ni possible kwa kitu kama TAIFA KUROGWA?
Jamani kama kuna mwenye knowledge ya hilo tufahamishane. Yani kama ni possible kwa Taifa kurogwa...Maana licha ya kwamba sijaona hizo video..Lakini maelezo hayo yananipa picha ambayo kwa kweli si vitendo vya kawaida kabisa...Unless ni some sort of SABOTAGE wanayowaonyesha wenzao wa CCM kuwa something has to happen before moving forward.
Hizo ni option mbili...Kama hiyo ya kutoridhika na mwenendo wa chama si theory nzuri...Then wabunge hao nao hawafai hata kidogo na wananchi wasiwapigie tena kura.
 
wao wana shida gani na walalhoi? kama ni pesa wakimaliza kikao inaingia sijui ndo posho au mshahara? kama ni dili la epa au richmond tayari zimeshaingia kwenye akaunti. kama ni kukosa kura huo ni wongo kwa kuwa akimaliza tu kipindi chake hayo marupu rupu ataweza kununua wapiga kura kibao! hawa ndugu ni vema hilo jina mnalowaita waheshimiwa mliondoe ili wajisikie kuwa wao ni watu wa kawaida na kuwa jukumu lao ni kutetea watu wa kawaida.HILI JINA MHESHIMIWA LINANICHEFUA SANA, HUKO VIJINI UTASIKIA HATA MWENYEKITI WA KIJIJI ANAJIITA MHESHIMIWA, SIJU WANAHESHIMIWA KWA LIPI? KWA NJAA INAYOWAMALIZA WAPIGA KURA WAO?
 
our reps most of the time are not serious in the house!the story is different when it come to receiving their perdiums.ndiyo aina ya watu tulionao
 
Mngesikiliza Bungeni leo au kwa wanaoona live natumaini wamejionea upuuuzi mwingine
wabunge wa chama changu wanasimama na kumpongeza mkulo kwa uozo wa ufeki wa vitabu vya bajeti, halafu mbunge mmoja ndo katoa kali zaidi anamshauri mkulo asikose usingizi na akiweza aendelee kutengeneza watoto (wazembe) asisikilize kelele za wapinzani.

Nakubaliana na signature ya mwanabodi mwenzetu kuwa IPO SIKU SHETANI ATASEMA ANAONEWA NA WATANZANIA WATAPIGA MAKOFI......

Naunga mkono hoja ya tuandamane mia kwa mia (wanafiki wasema ndiooooooo)
Naam, nimeiona hiyo mkuu. Ila nikukosoe kidogo, mbunge alisema Mkullo alale usingizi mnono asiwasikilize wapinzani na kelele zao ila spika akamkatisha akamwambia "Mheshimiwa akilala sana hatatengeneza watoto...". Kes kauli hiyo nilijikuta nabadili channel hapohapo!
 
Naam, nimeiona hiyo mkuu. Ila nikukosoe kidogo, mbunge alisema Mkullo alale usingizi mnono asiwasikilize wapinzani na kelele zao ila spika akamkatisha akamwambia "Mheshimiwa akilala sana hatatengeneza watoto...". Kes kauli hiyo nilijikuta nabadili channel hapohapo!

hahahahahaha hehehehe
ah makubwa haya
 
Naam, nimeiona hiyo mkuu. Ila nikukosoe kidogo, mbunge alisema Mkullo alale usingizi mnono asiwasikilize wapinzani na kelele zao ila spika akamkatisha akamwambia "Mheshimiwa akilala sana hatatengeneza watoto...". Kes kauli hiyo nilijikuta nabadili channel hapohapo!

Ni wazi kuwa BUNGE LETU NI LA CCM na CCM IMEGAWANYIKA TAYARI KIMAKUNDI MAKUNDI.
Tatizo ni mgawanyiko huo hautamnufaisha mwananchi huko bungeni na kwa hiyo waturudishie watu nyumbani tuanze upya. Huo ni ushauri wangu mwema.
 
Naam, nimeiona hiyo mkuu. Ila nikukosoe kidogo, mbunge alisema Mkullo alale usingizi mnono asiwasikilize wapinzani na kelele zao ila spika akamkatisha akamwambia "Mheshimiwa akilala sana hatatengeneza watoto...". Kes kauli hiyo nilijikuta nabadili channel hapohapo!

Huyu Spika mawazo yake yote yapo kwenye hilo tendo tu.Nakumbuka hata Mama Kilango alishawahi kumpa kibomba kuhu kukosa sehemu ya kulala baada ya kusema atakuwa a staunch critic wa iuovu hata kama utatoka kwa mumewe.

Freud would say he is dominated by ever present sexual desires in an attempt to use the most of a waning libido.
 
Wanachonikera zaidi ni pale mtu anapopewa mda anaanza siju nampongeza.....sijui juzi....
Mbaya zaidi utakuta wabunge zaidi ya watano wote wanaongea kile kile ktk opening remarks zao.
Then at the end kapoint kamoja alafu pumba ili mradi tuu auze sula.Hopeless
Mtu aliyeingia bungeni kisanii utamuona tuu.
 
Huyu Spika mawazo yake yote yapo kwenye hilo tendo tu.Nakumbuka hata Mama Kilango alishawahi kumpa kibomba kuhu kukosa sehemu ya kulala baada ya kusema atakuwa a staunch critic wa iuovu hata kama utatoka kwa mumewe.

Freud would say he is dominated by ever present sexual desires in an attempt to use the most of a waning libido.

Mkuu Pundit unachosema sikatai.
Ila usisahau kuna mgawanyiko ama migawanyiko kede kede huko CCM.
Kabla hawajaanza kuuana live live warudi nyumbani.
Sitta..."Mzee wa Maji Taka" Ni mwanasiasa mkongwe mwenye vijembe.
Hiyo ilikuwa ni kauli ya kijembe kwasababu ni wazi alimaanisha kuwa watu wasilale.
Watoto inaweza kuwa MAJI TAKA TU.
Ama pia kuwa wasilale...In any means hata kama kutengeneza watoto ndio sababu ya kuwafanya wawe macho.

NCHI IKO NJIA PANDA HALAFU KUNA WANAOSEMA WATU WALALE?
HAPA MIMI NAMASAPOTI SITTA KWANI HAO WABUNGE NI KWELI HUWA HAWALALI KWA NGONO!
HALAFU MASLAHI YA TAIFA YAKIFIKA BASI WANAJIDAI KULALA...SOMETIMES HATA BUNGENI HUSINZIA KWA MUSHKELI WA USIKU ULIOPITA WA LIBENEKE.
 
Ni wazi kuwa BUNGE LETU NI LA CCM na CCM IMEGAWANYIKA TAYARI KIMAKUNDI MAKUNDI.
Tatizo ni mgawanyiko huo hautamnufaisha mwananchi huko bungeni na kwa hiyo waturudishie watu nyumbani tuanze upya. Huo ni ushauri wangu mwema.

Hivi huyu mwenye uamuzi wa kurudisha watu nyumbani ni nani? na kama yupo ila hataki kurudisha watu nyumbani kabla ya 2010 je nini kitafanyika?
 
Heshima mbele wana JF

Nimekereka mpaka nimeona ni bora nije mbele yenu ile tujadili hili,...

...hivi zile allowance waliongezewa vile?

yote ulosema ni kweli tupu, unajua 'mtoto umleavyo ndivyo akuavyo', sasa imagine hapo kuna wengine wana majukumu ya kukemea nidhamu na utoro mashuleni, vyuoni, makazini nk... wakati huo huo wao wanashindwa kuonyesha hilo hapo bungeni!

No wonder nidhamu makazini 'hairidhishi' iwapo mawaziri wenyewe ndio hivyo.
 
Naam, nimeiona hiyo mkuu. Ila nikukosoe kidogo, mbunge alisema Mkullo alale usingizi mnono asiwasikilize wapinzani na kelele zao ila spika akamkatisha akamwambia "Mheshimiwa akilala sana hatatengeneza watoto...". Kes kauli hiyo nilijikuta nabadili channel hapohapo!

Huyu Speaker akili yake naye huwa ni mbovu! Ana utani sana ndo maana hata anadiriki kusema kuna uchawi bungeni wakati sheria zetu hazitambui uchawi.
 
Hivi huyu mwenye uamuzi wa kurudisha watu nyumbani ni nani? na kama yupo ila hataki kurudisha watu nyumbani kabla ya 2010 je nini kitafanyika?

Tusubiri tuone kama Sitta ni mkweli.
Kumbuka alisema tusubiri BUNGE kuhusu mambo ya ufisadi.
Na hilo lilimshtua sana Chenge hadi akatamani BUNGE LISIWEPO ama kujaribu vitisho.
Sitta alilonga hayo Huko jimboni Maiyore or something huko India.
Pia ni kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na kina Zitto..Basi tusubiri tuone.
Maana hata Rais mwenyewe anajua wananchi wengi wa kawaida wana hasira.
 
Back
Top Bottom