Dah,haya mambo ni mabaya sana.Tatizo hapo akili huwa haipo.baada ya hapo ndio wanaanza kujuta baada ya kuumizana au kupelekana kwa pilato.Tujaribu kuzizuia hasira zetu kuepusha mambo kama haya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.