- Thread starter
- #21
kwa utaratibu huu...ningeweza kukushauri muanze na zile za bomani (serikalini) huku mkiendelea kufikiria na kuangalia mazingira pengine mmoja anaweza kubadili dini hapo baadae. lakini kama huko pia ni issue inaonekana kila mmoja hayuko tayari kwa mwenzie,
Kama hakuna mapenzi ya kweli its very costful, unaweza badili dini huko mbeleni mkatosana vile vile mzee unabaki mwenyewe hata haueleweki, kurudi mwanzo unaona aibu kuendelea nako ndo ivo tena...! have time for it plz
unachosema ni kweli..