jamani nipe ushauri, mamkwa kila wakati anachukua fedha kw mke wangu, nae mke wangu hanambiii kama kampa mama yake fedha ni hadi hapo tukifanya balance nakuta upungufu ndo wife wangu husema hoo mama atarudisha lakini wapi,
sasa majuzi nilimpasulia live mamkwe kwa ukali sitaki aje kwangu.
na mume wa mamkwe ni mhasibu ktk BANK
sasa majuzi nilimpasulia live mamkwe kwa ukali sitaki aje kwangu.
na mume wa mamkwe ni mhasibu ktk BANK