B bojuka Senior Member Sep 9, 2010 128 1 Nov 3, 2010 #1 Nilisikia kuwa baada ya uchaguzi kuna mgombea urais atakufa waandishi wa habari wathibitisha haya . Kama sio kutisha watu wasigombee ni nini?
Nilisikia kuwa baada ya uchaguzi kuna mgombea urais atakufa waandishi wa habari wathibitisha haya . Kama sio kutisha watu wasigombee ni nini?
Bob_Dash Member Nov 1, 2010 90 13 Nov 3, 2010 #3 Yule mzee Kichaa yule, nadhani amekosa pesa ya kulipa MAJINI YAKE sasa yametia mgomo, ndo maana anabaki ku bwabwaja tu pumba.
Yule mzee Kichaa yule, nadhani amekosa pesa ya kulipa MAJINI YAKE sasa yametia mgomo, ndo maana anabaki ku bwabwaja tu pumba.
wa stendi JF-Expert Member Jul 7, 2016 24,685 26,779 Jun 5, 2019 #6 Hivi ni kweli eti jamaa ana betri kisaidia moyo au maneno ya watu tuu