Ndg wanajf nakerwa na kuhuzunishwa jinsi gani idara ya uhamiaji Geita hawako makini. Mgodi wa dhahabu wa Geita (GGM) kila kukicha unaajiri wafanyakazi kutoka nje hasa kutoka ufilipino, ktk kampuni moja (contractor) inayojihusisha na drilling ina jumla ya wafanyakazi 213 kati ya hao wafilipino ni 47 yaani hata mlinzi wa lango la kuingia kwenye kampuni hiyo ni mfilipino, kali kuliko zote wameleta drivers 2 na punchman 1.
Je hizo nafasi hamna watanzania wenye sifa? Nina imani kabla kuingia nchini wamepitia taratibu immigration je wamewambia kuwa wao ni nani?
Je hizo nafasi hamna watanzania wenye sifa? Nina imani kabla kuingia nchini wamepitia taratibu immigration je wamewambia kuwa wao ni nani?