Jamani tusiwaamini wakenya kamwe nikama mambwamwitu wanaotuvizia

Status
Not open for further replies.
Wakenya bana niliwahi kupanda ndege ya Precision Air lakini ticket imeandikwa KQ402 nilichoka
 
When dealing with Kenya u hav 2b aggressive, unakumbuka ile issue ya kisiwa cha migingo kati ya UG na KY? M7 alipeleka wanajeshi wake kulinda haki yake...wakenya wakapiga kelele, lakini at the end of the day wakatulia na UG ikashinda.
Sasa hapo tunagifunza nini??:smiling:
 
Right now we should be thinking about a united East Africa, obsessing on this borders is what has led all our countries into poverty and over exploitation by the west and now the Asian and Arab worlds. Africa needs unity, not blokes who peddle lies and half truths to incite the mass into hating other people. Kenya as a country will definitely root for itself when advertising on tourism in a competitive industry, it will seek its own interest and not its neighbor whom they share almost the same tourist attractions. Its disheartening to see people rant for ages about something and their government doesn't take any initiative or move in to try and stop or tackle the problem that is being discussed, Tanzanians have complained for far too long on the Kenyan government insistence of Mt. Kilimanjaro being in Kenya, but there is nothing being done. Is there something they are not telling us?

Is your Kenya United itself? Charity begins at home. Utazima moto kwa mwenzio wakati kwako kunateketea? Zima moto wenu wa ukabila kwanza, wa kwetu tuachie.
 
Ni kweli tatizo hilo kwa kenya kutangaza resources za tz kwamba zipo kwao lipo na ni la muda mrefu sana. mimi mwenyewe nilipata shida sana canada nilipokuwa nafanya tanzania country presentantion nilipoeleza kwamba mlima kilimanjaro , na tanzanite ni moja ya resources za tanzania, wazungu walishangaa sana wakasema walijua vipo kenya. lakini hata hivyo hawatatuweza tena wamechelewa.
 
Ao manyang'au hata ule wimbo wa Malaika wanasema eti ni wa kwao wakati sio Fadhili Williams Mdawida ambae aliuimba kwanza. Huu wimbo ulitungwa na Mtanzania. Hawajaanza leo hao!!!!
 
Wiki hii nilikuwa miongoni wma abiria ndani ya ndege ya kenya airways kutokea usa to nairobi moja ya jambo lililonikera ni vijarida wanavyogawa ktk ndege zao na ktk vituo vyao vya utalii huko usa vingine vimeandikwa eti mlima kilimanjaro upo kenya! Na hivi vya ndani ya ndege vinadai eti upo tanzania lakini unaonekana vizuri ukiwa upande wa kenya infact sikutaka kujua kama ni kweli kilichonikera nikwamba wanajitahidi kila kukicha kujikosha,kujiambatanisha na sifa za mlima kilimanjaro hata ktk vijarida vyao huwa hawataji kuwa huo mlima upo tz wao hutaja ni mlima mkubwa africa na unaonekana vizuri ukiwa mbuga ya kwao ya amboseli!
Infact hii sio mara yakwanza kwa wakenya kudanganya kuhusu mlima kilimanjaro ipo hivi kwa sisi watu tulio jirani na system nikwamba miaka ya sitini na sabini chini ya uongozi wa jomo kenyatta kenya waliunda tume ya kuudai mlima kilimanjaro urudi kwao(kupanuliwa mpaka) kama ilivyo awali enzi za mkoloni wakasahau kuwa kilomita 15 za pwani yote ya east africa kutokea kingo za bahari kwanzia mtwara hadi somalia ni mali ya sultani wa zanzibari kitu ambacho kinameza mombasa yote na miji yao mikubwa ya pwani kuwa ardhi ya zanzibar! So babu mchonga meno akawaambia fine tutawarudishia mlima wenu kilimanjaro nanyie warudishieni zanzibar kilomita zao 15 za pwani yenu! After jibu hilo tume hiyo iliahidi kurejea tena dar kwa mazungumzo zaidi na haijarejea hadi leo! So wakaanza kuishawishi zanzibar ijitenge na tz imean muungano uvunjike then zanzibar leter on ijiunge na kenya ili ramani ya mkoloni ijirudie wkt znz ikiwa kwao wakawahonga na kuwashawishi wanasiasa wajinga flani na zanzibar wakaanzisha chokochoko za kujitenga mwaka wa 2000 baada ya uchaguzi lakini kwa ushupavu wa fisadi mkapa akapeleka vikosi vya makomandoo zanzibar usiku then wkt wa maandamano ya cuf wao waliwaagiza polisi wasizuie waandamanaji ili wao wakiwa miongoni mwao wawajue na kuwamaliza kikomandoo zaidi lakini polisi sijui hawakufuata au walisahau hayoo maagizo kitu ambacho ikapelekea polisi wengi kuuwawa na makomandoo wa jwtz kimakosa na rai kibao nao kuuwawa infact hadi boti ya vijana waliokuwa wanakimbilia mombasa ilizamishwa na helcopta ya polisi so kenya wakashindwa!
Siku za hivi karibuni baada ya kuingia weak prezdaa huku tz wakenya wamesoma alama za nyakati na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuwatia ujinga wazanzibar kutaka kuuvunja muungano na kuwa na taifa lao thats y wanadai kimkoa chao kila kukicha infact hakuna aliyewahi kuuona muungano ila watu wachache kama pinda ambaye alisema kimsingi zanzibar ni mkoa kitu ambacho huwezi kumbishia kwakuwa hatujui karume alisainishwa nini na nyerere pale ikulu infact pinda anajua!
Infact wakenya wamefanikiwa sana kubomoa uchumi wa tz kwakuchapisha noti feki za shilingi ya tanzania! Wakati ukabila kwao unawatafuna wanataka na sisi tutafunane kwa udini wamejitahidi kuwatumia mashekh wachache wakiislam kuaanza kupandikiza mbegu ya udini kutaka kuonyesha eti waislam wanatengwa na kubaguliwa tz!
Mimi ni muislam sijawahi kubaguliwa popote kwa dini yangu humu tanzania,kwao hakuna ardhi ya kulima wala kufuga ardhi yote kwao inamilikiwa kikabila
infact wabongo kuweni makini na hawa wandugu wao kuuana na kubaguana kikabila maofisini ni kawaida wote tuliona baada ya uchaguzi wao miaka michache iliyopita

mungu ibariki tanzania na bariki muungano uendelee kudumu daima milele
Asante sana ndugu kwa hii taarifa, e bwana watu tulikuwa hatufahamu.
 
Jamani tusikae kulalamika tu kila siku bila ku take actions. Kwani anayetukataza watanzania na sisi KUTANGAZA VIVUTIO VYETU HUKO NCHI ZA NJE NI NANI?. Niliwahi kufatizia wakati fulani nikaambiwa budget wanayotengewa board ya Utalii kwa ajili ya kujitangaza ni ndogo sana!-nani wa kulaumiwa jibu tunalo wenyewe. Ofisi za balozi zetu zote nje ya nchi zilitakiwa ziwe very good marketers wa resources zetu lakini wala hawaonekani kuwa serious na hili!-nani wa kulaumiwa jibu tunalo wenyewe. Naangalia media nyingi kubwa za nje kama CNN,BBC,ITV,SKYNEWS,CBS,ABC,CCTV,RT FOX nk,utaona matangazo ya vivutio vya Kenya,Uganda,Botswana,Zambia,Msumbiji hata ka Malawi nimeona kameweka huko matangazo yake!. Kwenye CNN,nchi ya Malaysia imeweka tangazo lake na slogan ya mwishoni wanasema 'Malaysia trully Asia'. Inamaana nchi nyingine za Asia ziilalamikie kwa hilo?. Ni advert strategy tu. Kenya wanaposema njoo Kenya utauona vizuri mlima Kilimanjaro nayo ni advert strategy yao. Sisi watanzania na mlima wetu tunao,tumetengeneza marketing strategy gani as a whole to counter attack hilo tangazo lao ambalo tumekuwa tunalilalamikia miaka mingi toka mimi nasoma nursery na sasa nimemaliza chuo miaka 15 iliyopita bado nalisikia,inakera. Wageni wataacha kuwajua zaidi hao wanaowekeza kwenye kujitangaza kuliko sisi ambao bado tupo kwenye usingizi kweli?.Kuna katangazo kamoja kapo kwenye uwanga wa mpira kule UK,na sijajua kama tuliwekewa kwa msaada au tunakalipia!.Kabla ya kuwalaumu wakenya tuwe serious sisi wenyewe kwanza kwenye marketing strategies za resources zetu. Bodi na taasisi mbalimbali za promotion na utalii TAFADHALI ZIAMKE kuliko miaka yote tukikaa tunalalamika tu. Lastly,Kenya hawezi kukusaidia wewe kuutangaza mlima wako Kilimanjaro hata siku moja,hana muda!. Labda kama yeye hataki kuendeleza uchumi wake ili siku zote awe anakucheka kwa kuzubaa!
 
.............Normally I use to say here at JF that East African Community is another disaster to Tanzanian...We need to think deeply in whatever the step we move on towards East African Political Federation,otherwise we will suffer the consequences at the ends........
 
Hii ni swala moja nyeti sana viongozi wetu wasipokuwa makini na hili itakuja kusababisha mengine,nipo chuoni Russia na ninashangaa kabisa hata kwenye ubalozi wao kuona hivo vijarida,kuna sehemu moja katika mji wa moscow wamebandika tangazo lenye *mlima kilimanjaro na wameandika upo kenya,hii ni aibu kubwa kweli na viongozi wa kitanzania wanaangalia tu
 
Karibu Kenya Kaka ,hakuna matata .Hapa ni mugithi na wanjiku mtindo mmoja .Niwega /bye.
 
Does anyone believe the guy has even seen the inside of plane? When will we unite as Africans and stop petty politics of saying this one has been looking at our mountain with envy!!! What are we as Tanzanians doing to promote our country. We give first priority to mzungu ama mchina. If Tanzania is burning we will run to Kenya or Malawi yet these are the countires we really hate with a passion. Kenya has invested here and employed many Tanzanians. Let us stop petty childish politics and start working to develop our country instead of blaming hao wakenya. Manybe we should vote wisely,work harder and steal less when in are in public office and be responsible for our actions. We can keep blaming everyone but in the meantime even Rwanda is growing faster than us.
 
Ni kweli tatizo hilo kwa kenya kutangaza resources za tz kwamba zipo kwao lipo na ni la muda mrefu sana. mimi mwenyewe nilipata shida sana canada nilipokuwa nafanya tanzania country presentantion nilipoeleza kwamba mlima kilimanjaro , na tanzanite ni moja ya resources za tanzania, wazungu walishangaa sana wakasema walijua vipo kenya. lakini hata hivyo hawatatuweza tena wamechelewa.


Jamani sasa kama hatujitangazi tunategemea nini? Tukijitangaza aggressively wao ndio wataumbuka. Tuache kabisa huu ujinga wa kulalamikia issue ya Kilimanjaro sababu hela tunapata lakini hatujitangazi
 
Wakuu,

nimekua nikifuatilia hii nyuzi kutoka mwanzo na tangia niisome nimeona imekaa kiuzushi uzushi japo ina hoja muhimu. Ni kweli Kenya
inatangaza mlima Kilimanjaro kua kwao lakini swali ni Je Tanzania nayo inafanya nini kuchallenge hii fallacy...nothing!


Pili Kenya haina ndege zinazotoka USA hadi Nairobi...that is a big lie. Sasa sijui kama the rest of the story ni kweli ama vipi tena?
Hii ndege aliyopanda huyu bwana inaitwaje? Ana uhakika ilikua inatoka USA au ilikua inatoka bara la Uropa?

Naomba tue waangalifu tunapoanzisha thread humu ndani la sivyo tutaonekana wambea tu.

Shukran.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom