STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Hawa wazee wanaopata viinua mgongo kutoka CCM leo wako wapi? Mbona kila Post siwaoni au wamekatiwa uduma ya Airtime?????
Waache kupotosha umma wa waTZ imetosha kuifilisi hii nchi wenyewe wameshtuka...
Nadhani leo hawajapata mgawo kutoka kwa bosi wao..
Tume washika pabaya walichonga sana
Waache kupotosha umma wa waTZ imetosha kuifilisi hii nchi wenyewe wameshtuka...
Nadhani leo hawajapata mgawo kutoka kwa bosi wao..
Tume washika pabaya walichonga sana