jumbenylon
Senior Member
- Jun 12, 2011
- 115
- 10
Nawaomba sana Watanzania, Tumsaidieni ndugu yetu msanii wa filamu SAJUKI anaumwa sana na anahitaji kwenda kutibiwa INDIA mapema iwezekanavyo!!
Waweza kumchangia kupitia AKIBA BANK Account number 050000003047 Jina la mwenye account ni mkewe WASTARA JUMA au M PESA Number 0762189592. Asanteni sana, Tumuombe na Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo!
Kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa Sajuki anasema kuwa Sajuki alikuwa akisumbuliwa na tumbo yaani kama vidonda vya tumbo lakini ukiupata huo asili yake au dalili zake zinakuwa kama unaumwa kansa, na ndio maana kwetu watuwezi utibu huo ugonjwa ni mpaka INDIA. Anasema alikuwa anasumbuliwa mda mrefu.
PAMOJA WE CAN
Tuoneshe upendo!