Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,858
- 31,885
Huyu haumwi!
Deko at works , huyu kuna kitu anakisarandia, au anatafuta huruma flani hivi.
Baadae utaona tu.
Ye muache.
Atachezea kichapo mpaka tumbo litapona.
Huyu haumwi!
Deko at works , huyu kuna kitu anakisarandia, au anatafuta huruma flani hivi.
Baadae utaona tu.
Huyu haumwi!
Deko at works , huyu kuna kitu anakisarandia, au anatafuta huruma flani hivi.
Baadae utaona tu.
Ye muache.
Atachezea kichapo mpaka tumbo litapona.
...la kuhara au la kukata...?...usikute kuna ...ki...?
pole shem, vp linakatakata kama wachina wanapigana mapanga au la pprrraaaatatatatatatata, au njaa, au ngiri katoka porini kakuingia au ..........
Utamchapa kwa kutumia nini ?
...kwa kutumia chapio lisilouma..!!!
Walijua weye?
Muulize shem wangu.
Atakuelekeza lilivyo.
Keshakufa nn? Mbona haonekani??
Madame B. Confirmation please?
Shem wako yupi sasa?
Keshakufa nn? Mbona haonekani??
....nahisi.
Mmwaminifu,
taarifa nilizozipata hv punde ni kuwa jamaa ametoroka hospitali na shuka la kijani.
Tangaza kwa wana Jf wote kuwa atakaemuona mwanaume amejifunika shuka la kijani,basi akamatwe mara moja.
Ameelekea mitaa ya Salendar Bridge.
we Judgement unanitafuta ubaya na watu.
Naogopa kumtaja jina maana watajitokeza mashemeji kibao.
We ita tu "Shemeji yake Madame B,uko wapi?"
Nae atajitokeza punde tu.