Jamani tulizungumzie hili Suala Donda sugu la Rushwa

Hivi umewah kutembelea sehem hizo? utakutana na mabango makubwa yenye ujumbe corruption free zone. Cha ajabu ni kwamba, kila anayeagwa basi lazima aangwe kwa stail a kushikwa mkono. Mimi huwa najiuliza kwanini wasipungiane tu?
 
Hivi umewah kutembelea sehem hizo? utakutana na mabango makubwa yenye ujumbe corruption free zone. Cha ajabu ni kwamba, kila anayeagwa basi lazima aangwe kwa stail a kushikwa mkono. Mimi huwa najiuliza kwanini wasipungiane tu?
Sasa hiyo Stail ya kushikwa mkono ndipo pesa zinapotolewa hapo akapewa mkubwa muhusika mla rushwa? au ndio kuagana kwa aina gani huko mkuu? Nchi inanuka kwa suala la Rushwa hata ukiuliza wapi toilet utaambiwa towa rushwa uonyeshwe hiyo sehemu ya kujisaidia ahhh hatuna viongozi hapo kwetu.............. gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
Sasa hiyo Stail ya kushikwa mkono ndipo pesa zinapotolewa hapo akapewa mkubwa muhusika mla rushwa? au ndio kuagana kwa aina gani huko mkuu? Nchi inanuka kwa suala la Rushwa hata ukiuliza wapi toilet utaambiwa towa rushwa uonyeshwe hiyo sehemu ya kujisaidia ahhh hatuna viongozi hapo kwetu.............. gfsonwin

kabla sijajua nilijua wanaagana tu kumbe rushwa ishawekwa mkononi anapewa muhusika. Kasheshe ni kwamba kuna hakim aliwah kumwambia mshtakiwa kila siku apeleke mafuta ya gari home kwake hadi aridhike ndipo atakapotoa hukumu.
 
kabla sijajua nilijua wanaagana tu kumbe rushwa ishawekwa mkononi anapewa muhusika. Kasheshe ni kwamba kuna hakim aliwah kumwambia mshtakiwa kila siku apeleke mafuta ya gari home kwake hadi aridhike ndipo atakapotoa hukumu.
Kasheshe kweli Hakim anamuambia Mshitakiwa hivyo awe anamuletea mafuta mpaka atakaporidhika ndipo anaweza kumuachia ahhh nchi yetu kweli imeoza .Tangu alivyokufa Baba wa Taifa basi na nchi

yenyewe imekufa hatuna Viongozi imara wanayoipenda nchi yao kasheshe kweli Tanzania yetu mbovu kwa akila kitu uongozi hatuna umeme hatuna maji safi hatuna usafiri hatuna yaani Sisi Wa Tanzania tunaishi kama wanyama wa porini hata hao wanyama wa porini wana raha kuliko binadamu anayeishi hapo Tanzania...... gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
Kasheshe kweli Hakim anamuambia Mshitakiwa hivyo awe anamuletea mafuta mpaka atakaporidhika ndipo anaweza kumuachia ahhh nchi yetu kweli imeoza .Tangu alivyokufa Baba wa Taifa basi na nchi

yenyewe imekufa hatuna Viongozi imara wanayoipenda nchi yao kasheshe kweli Tanzania yetu mbovu kwa akila kitu uongozi hatuna umeme hatuna maji safi hatuna usafiri hatuna yaani Sisi Wa Tanzania tunaishi kama wanyama wa porini hata hao wanyama wa porini wana raha kuliko binadamu anayeishi hapo Tanzania...... gfsonwin

ila kila jambo kwa wakati wake, na sasa ndio wakati wa mapinduzi.
 
RUSHWA NCHI HII INAKERA ...nyingine ziko njenje
Hivi tunatahmini juu ya mafanikio ya kupambana na rushwa baada na kabla ya TAKUKURU? Binafsi sioni kama tulikuwa na haja ya kuongeza chombo maalum cha kupambana na rushwa. Ingeachwa chini ya majukumu ya polisi kama uhalifu mwingine haina tofauti na ile wizara ya 'kupambana na majambazi' tuliyoiacha. Nyongeza ya wahusika bila nia haileti tija.
 
CCM HAWAACHI KUOTA MCHANA KWEUPE,KATIKA KAMPENI ZAO ZA KUWAPUUZA WATANZANIA WAMEANDAA ULAGHAI MWINGINE ILI WAPATE KURA ZA WAPUMBAVU.
1.KUANZISHWA BENKI YA WAKULIMA
2.KUANZISHA BENKI YA VIJANA
KATIKA UANZISHWAJI BENKI HIZO SERIKALI INA MPANGO WA KUWAHADAA WATZ KWA KUWAAMBIA WATAWAKOPESHA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU,KUANZIA MILLION 1MPAKA 15.LAKINI KATIKA UOMBAJI HUO UNAHUSISHA WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KAMA MAWAKALA WAO ILI UPATE MKOPO,CHA KUCHEKESHA ZAIDI INAAMINIKA CCM IMEJIPANGA KUTUMIA KITAMBULISHO CHA URAIA NA HASA CHA KUPIGIA KURA KAMA MTAJI WA KUWAPATA HAO WALENGWA.NA KUHAKIKISHA WANAOCHUKUA MIKOPO WOTE WATAIPIGIA CCM UCHAGUZI KUANZIA UDIWANI WA 2014 NA UCHAGUZI MKUU 2015.LAKINI WAJUMBE WENGI WANA WASIWASI KUWA VIJANA WALIO WENGI WAMEELEVUKA SANA NA WATAKULA PESA ZAO NA KUWAPIGIA WAPINZANI.CCM ILITUMIA MKUTANO WA JANGWANI KAMA KIPIMA JOTO SASA WAMEANZA KUINGIWA NA WASIWASI MAANA MKUSANYIKO ULE HAUKUKAMILIKA BILA YA PESA SASA WANAJIULIZA BILA VIKINDI VYA SANAA KWELI WATAKUBALIKA,MJUMBE ALIYE KARIBU NA NAPE KASEMA CHADEMA INAWANYIMA USINGIZI KULIKO HATA MAGONJWA YA WAZAZI WAO AU WANANDOA WAO.
BINTI MREMBO LUMUMBA CCM
:confused2:
 
Back
Top Bottom