Jamani tukubali, tukatae: Wahaya Waliusumbua Utawala wa Awamu ya Kwanza Miaka ya 1980s!

Kwa Mapinduzi . Kiongozi alikuwa Thomas Mtakumbwa Lugangira, wengine Banyikwa na mkewe, Maafisa wa Jeshi( Zacharia Hanse Pope, Mbogoro Dietrich, Mapunda V, Eugen Maganga, Christopher Chaika,Martin Musa Tamim(Commandoo), Ngaiza , Rwechungura, Rweyongeza,.....
Wengine nimewasahau
 
Kwa Mapinduzi . Kiongozi alikuwa Thomas Mtakumbwa Lugangira, wengine Banyikwa na mkewe, Maafisa wa Jeshi( Zacharia Hanse Pope, Mbogoro Dietrich, Mapunda V, Eugen Maganga, Christopher Chaika,Martin Musa Tamim(Commandoo), Ngaiza , Rwechungura, Rweyongeza,Chitunguli .
Wengine nimewasahau
 
Kwa Mapinduzi . Kiongozi alikuwa Thomas Mtakumbwa Lugangira, wengine Banyikwa na mkewe, Maafisa wa Jeshi( Zacharia Hanse Pope, Mbogoro Dietrich, Mapunda V, Eugen Maganga, Christopher Chaika,Martin Musa Tamim(Commandoo), Ngaiza , Rwechungura, Rweyongeza,.....
Wengine nimewasahau

Asante mtemiwaWandamba...

Unamwona sasa Uncle Tom hapo na wenzake..
 
Hii stori umeanzia juu juu sana mkuu, kuna wengine hatujui ilianzaje, wapi ilitekwa na ni lini ilikuwa, ilikuwa na abiria wangapi? Capt Mazula nadhani huyu alikuwa jirani yangu mwanza kama sikosei, niliwahi kumfundishia mtoto wake tuition ya hesabu miaka 12 iliyopita!
capt. Deo Mazula ndie aliendesha hiyo ndege, na yu hai., marehemu ni mdogo wake ambaye pia alikuwa rubani.
 
Wakuu Joka Kuu,Jasusi,SlidingRoof na wazee wengine waj JF ndio wanaweza kusaidia stori nzima ilikuwaje! Ktk wakongwe wa historia wanaostahili tuzo humu JF Joka Kuu na MM Mwanakijiji wanatisha sana! Lakini huu mkasa upo humu uki search utaipata.JF imeshajadili mengi mno toka 2006!
Mkuu umemsahau Kichuguu, wapi Kichuguu hapa ndo unaweza kutueleza vizuri.
 
Kwa Mapinduzi . Kiongozi alikuwa Thomas Mtakumbwa Lugangira, wengine Banyikwa na mkewe, Maafisa wa Jeshi( Zacharia Hanse Pope, Mbogoro Dietrich, Mapunda V, Eugen Maganga, Christopher Chaika,Martin Musa Tamim(Commandoo), Ngaiza , Rwechungura, Rweyongeza,Chitunguli .
Wengine nimewasahau

Hatty Macghee
 
Mkuu umemsahau Kichuguu, wapi Kichuguu hapa ndo unaweza kutueleza vizuri.
Dah kweli kamanda! Nilimsahau huyu Legendary wa historia hapa JF! Hivi Kichuguu na Joka kuu si mtu mmoja kweli?
 
I. Nimekumbuka wale jamaa walio-engineer Mapinduzi,nadhani 1983-84.. Baadaye nitaweka jina lake. "Uncle somebody" walikuwa na ma-nickname wengine kama ya Kiingereza.

II. Naomba radhi kwa kukiondoa kipande hiki.. Maana kimepatiwa majibu na kila mmoja alikuwa anarudia hapohapo tu..

iwe bhoojo............"unapashwa".... "ufwanye" ka-research kidogo.......kasinge
 
jamani mm navyofahamu ndege ilitekwa na kina member na hayakuwa mapinduzi, sawa pilot alikuwa Deo kaka yake na marehemu George Mazula, wana mdogo wao alivunjika mguu wakati G. akioa mchagga akampata mke nurse aliyemtibu mguu wake hayo tuyaache.
uhaini wa kina Tamim na wanajeshi mpango wao ulitibuliwa na mwanajeshi aliyekuwa kikosi cha Monduli Arusha (akiwa ni mtoto wa kuzaliwa wa kiongozi wa Chama, alitoa siri na baba yake kumpelekea JK Nyerere /sasa hivi mtoto huyo yupo chama cha upinzani huko kanda ya kati)
mission hiyo ikawakuta kina marando ndio waliomkamata Tamim kwenye pick-up barabara ya Kawawa Dsm mto taarifa mkuu alikuwa arawa dreva Taxi
Hapo ndi tofauti ya story hizo 2 zinazojichanganya
 
Kwa Mapinduzi . Kiongozi alikuwa Thomas Mtakumbwa Lugangira, wengine Banyikwa na mkewe, Maafisa wa Jeshi( Zacharia Hanse Pope, Mbogoro Dietrich, Mapunda V, Eugen Maganga, Christopher Chaika,Martin Musa Tamim(Commandoo), Ngaiza , Rwechungura, Rweyongeza,Chitunguli .
Wengine nimewasahau

Muongeze na Luteni Kadego naye alikuwapo na role kubwa
 
Back
Top Bottom