Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Kana kwamba mishaharaa aitoshi sasa polisi wameamua kuendelea kutia aibu jamani..natoka kwa ofisi napita huku chini
baharini wamewakamata wanada wawili na mwanaume mmoja wamejikalia wanapata hewa huku wanawatishia kwa nini wako hapo mpaka saa hii jamani watanzania wanamuda wakukaa sehemu ya starehee loh hizi njaa
baharini wamewakamata wanada wawili na mwanaume mmoja wamejikalia wanapata hewa huku wanawatishia kwa nini wako hapo mpaka saa hii jamani watanzania wanamuda wakukaa sehemu ya starehee loh hizi njaa