Jamani TBC wamezidi Kuboa!!

SirBonge

JF-Expert Member
Jul 18, 2010
378
435
Hivi hawa watangazaji wa TBC hasa wale wa kipindi cha Jambo cha asubuhi ambao wanalipwa na kodi zetu wadanganyika wamesomea kweli kazi yao vizuri?
Kwao suala la time management naona ni SIFURI KABISA...Kila siku wana'rush kama vile hawajui kipindi kinatakiwa kichukue muda gani kumalizika..
Anayekera zaidi ni huyu Joe Kihampa wakati wa akusoma heading za magazeti...watu tunakuwa very anxious kujua yaliyoandikwa lkn yeye anayashikashika kwanza zikibaki sekunde 30 ndo anaanza ku'rush hata vitu vya maana anaviacha- Waangalie mfano Channel 10.
Sio yeye tu wote wanaonekana hawajui kabisa suala la muda, hebu waangalie mfano wenzao wa CNN walivyo strict na accurate.
 
Mi ka msami hayupo siku hiyo, sijihangaishagi kusubiri magazeti ya tbc, nabadili channel.
 
Mkuu uwe unaangalia magazeti ya star tv.Wao hutumia dk 28 ivi kusoma vichwa vya habari.

Joe Kihamba ye huwa eti anauwezo ya kuyasoma yote kwa sekunde 30 - 40.
 
Ukiondoa mapungufu madogo madogo kama hayo, TBC is doing its best, japo need to do more.
Ukilinganisha na ilipokuwa TVT, utakubaliana na mimi, kwa sasa, TBC inahitaji pongezi na sio lawama.

TBC, inawatangazaji zaidi ya 60, sasa huyo mmoja tuu anayeboa, asitumike kuipotray TBC mnaboa as if ndio TBC yote.
Jamani tuwe huru kutumia vizuri freedom zetu of expression kuelezea yale yanayotukera, ila pia tusiwe wepesi kuelezea mauzi na kero tuu, mara moja moja pia tuwe tuna complement kwa mazuri machache kwenye hilo lundo la madhaifu, sio tuu kulalamika wee as if TBC does nothing good, ni kuboa tuu.

Pia ni kweli, TBC inatakiwa kujitahidi kufikia viwango vya BBC, CNN, Al jazeeras etc, nimebahatika kutembelea TBC na pia kutembelea makao makuu ya CCN pale Atlanta, ndugu zangu, hivi ni vitu viwili tofauti, the only thing in common, ni zote ni TV Stations nothing more, just like tembo na sisimizi, comparizon na TBC ni unfair.
 
Ukitaka kufaidi habari za magazeti angalia star TV hata taarifa zao za habari kwenye updande wa habari za kimataifa na michezo zimetulia sana kuliko TBC na hata ITV
 
nakubaliana nawe kabisa startv kwenye habari za kimataifa wanaeleza kwa ufasaha sana,wanaobore ni ITV habari za kimataifa ni kama vile joe kihampa anasoma magazeti!PIA TBC KWA WATU TUNAOTUMIA DSTV MNAKATAKATA SANA JAMANI
 
Nadhani una lako jambo la kuwaponda TBC. Ungekuwa muungana zaidi ungelalamaa kwanini ITV matangazo yao ni yale yale ya kila siku mara ngapi sijui kwa siku kama yale ya Mwalim, haki elimu, ukimwa, usidanganyike na mengine mengi. Nadhani ITV ndo wanaongoza kwa kuboa watazamaji wake.
Hongera sana TBC
 
Ukiondoa mapungufu madogo madogo kama hayo, TBC is doing its best, japo need to do more.
Ukilinganisha na ilipokuwa TVT, utakubaliana na mimi, kwa sasa, TBC inahitaji pongezi na sio lawama.

TBC, inawatangazaji zaidi ya 60, sasa huyo mmoja tuu anayeboa, asitumike kuipotray TBC mnaboa as if ndio TBC yote.
Jamani tuwe huru kutumia vizuri freedom zetu of expression kuelezea yale yanayotukera, ila pia tusiwe wepesi kuelezea mauzi na kero tuu, mara moja moja pia tuwe tuna complement kwa mazuri machache kwenye hilo lundo la madhaifu, sio tuu kulalamika wee as if TBC does nothing good, ni kuboa tuu.

Pia ni kweli, TBC inatakiwa kujitahidi kufikia viwango vya BBC, CNN, Al jazeeras etc, nimebahatika kutembelea TBC na pia kutembelea makao makuu ya CCN pale Atlanta, ndugu zangu, hivi ni vitu viwili tofauti, the only thing in common, ni zote ni TV Stations nothing more, just like tembo na sisimizi, comparizon na TBC ni unfair.

Kwa hivyo kama kuna jambo linakera watu wasiseme eti kwa vile mengine ni mazuri? Utajirekebisha vipi usipoambiwa unachofanya sicho?
 
Ukiondoa mapungufu madogo madogo kama hayo, TBC is doing its best, japo need to do more.
Ukilinganisha na ilipokuwa TVT, utakubaliana na mimi, kwa sasa, TBC inahitaji pongezi na sio lawama.

TBC, inawatangazaji zaidi ya 60, sasa huyo mmoja tuu anayeboa, asitumike kuipotray TBC mnaboa as if ndio TBC yote.
Jamani tuwe huru kutumia vizuri freedom zetu of expression kuelezea yale yanayotukera, ila pia tusiwe wepesi kuelezea mauzi na kero tuu, mara moja moja pia tuwe tuna complement kwa mazuri machache kwenye hilo lundo la madhaifu, sio tuu kulalamika wee as if TBC does nothing good, ni kuboa tuu.

Pia ni kweli, TBC inatakiwa kujitahidi kufikia viwango vya BBC, CNN, Al jazeeras etc, nimebahatika kutembelea TBC na pia kutembelea makao makuu ya CCN pale Atlanta, ndugu zangu, hivi ni vitu viwili tofauti, the only thing in common, ni zote ni TV Stations nothing more, just like tembo na sisimizi, comparizon na TBC ni unfair.
Naona kama kuna chuki binafsi vile..............!!!!!!!!
 
I hate TBC!...Hat ukiangalia mambo ya sisiem kwa sasa yanatangazwa kwa muda mwingi sana!...Siamini kama ni kwa sababu wanalipia airtime!...Ina maana vyama vigine havina activities zozote zinazovutia kuwa habari?...Ni kweli wameimprove katika quality ya matangazo, lakini ni wabaguzi wa kufa!
 
Ukiondoa mapungufu madogo madogo kama hayo, TBC is doing its best, japo need to do more.
Ukilinganisha na ilipokuwa TVT, utakubaliana na mimi, kwa sasa, TBC inahitaji pongezi na sio lawama.

TBC, inawatangazaji zaidi ya 60, sasa huyo mmoja tuu anayeboa, asitumike kuipotray TBC mnaboa as if ndio TBC yote.
Jamani tuwe huru kutumia vizuri freedom zetu of expression kuelezea yale yanayotukera, ila pia tusiwe wepesi kuelezea mauzi na kero tuu, mara moja moja pia tuwe tuna complement kwa mazuri machache kwenye hilo lundo la madhaifu, sio tuu kulalamika wee as if TBC does nothing good, ni kuboa tuu.

Pia ni kweli, TBC inatakiwa kujitahidi kufikia viwango vya BBC, CNN, Al jazeeras etc, nimebahatika kutembelea TBC na pia kutembelea makao makuu ya CCN pale Atlanta, ndugu zangu, hivi ni vitu viwili tofauti, the only thing in common, ni zote ni TV Stations nothing more, just like tembo na sisimizi, comparizon na TBC ni unfair.

No!! go are way with your TBC hatakama nimwajiriwa hapa tunasema kilichopo mezani cnn unaweza ukaitolea mifano??Tolea mifano kwa local channel's that why wanakwambia tizama Star tv!!TBC wanakula kodi nichombokinaendeshwa waodi yangu nayako!!iweje uwatetee hadharani??
as if niya mwananchi unamwambia anajitahidi??Aiingii akilini Kama unajua kutizama angalia vipindi vya maneno na sauti vinasiga ni Tv gani inafanya hivyo???Pesa yetu ina uma!!:angry:
 
Habari za ITV za Afrika Mashariki ndo zinaboa kuliko zote, utafikiri nyani anayedandia tawi moja hadi jingine.Tatizo la TBC ni uzalendo unaovuka kiasi, hata hivyo tunawaelewa hicho chombo cha umma , nani apendaye kujipiga risasi mguuni?
 
Kwa hivyo kama kuna jambo linakera watu wasiseme eti kwa vile mengine ni mazuri? Utajirekebisha vipi usipoambiwa unachofanya sicho?

Asante sana kwa kumsaidia huyu jamaa maana hata mie sielewi kama mtu ana mapungufu na sifa kede kede lakini kama anamapungufu asiambiwe...?
 
Ni vigumu sana sisi kuendelea maana kila wateja wa huduma fulani wanapolalamika basi lazima watatokea watu wengine na kujifariji kuwa eti "Tunajitahidi!". Jamani we are 50 years old as a nation, for Christ's sake! Kuna upuuzi mwingine hatutakiwi kuuelea eti kwa vile tu "Wanajitahidi!"
Hebu angalia mtangazaji kama Marini Hassan. Hivi huyu anajua kuwa sekunde moja katika televisheni ni Muhimu na gharama sanaa? Anajivuuta kwa mapozi na kila neno lazima alirudie rudie kwa pozi. Time is Money, jamani!
 
Ni vigumu sana sisi kuendelea maana kila wateja wa huduma fulani wanapolalamika basi lazima watatokea watu wengine na kujifariji kuwa eti "Tunajitahidi!". Jamani we are 50 years old as a nation, for Christ's sake! Kuna upuuzi mwingine hatutakiwi kuuelea eti kwa vile tu "Wanajitahidi!"
Hebu angalia mtangazaji kama Marini Hassan. Hivi huyu anajua kuwa sekunde moja katika televisheni ni Muhimu na gharama sanaa? Anajivuuta kwa mapozi na kila neno lazima alirudie rudie kwa pozi. Time is Money, jamani!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom