Hivi hawa watangazaji wa TBC hasa wale wa kipindi cha Jambo cha asubuhi ambao wanalipwa na kodi zetu wadanganyika wamesomea kweli kazi yao vizuri?
Kwao suala la time management naona ni SIFURI KABISA...Kila siku wana'rush kama vile hawajui kipindi kinatakiwa kichukue muda gani kumalizika..
Anayekera zaidi ni huyu Joe Kihampa wakati wa akusoma heading za magazeti...watu tunakuwa very anxious kujua yaliyoandikwa lkn yeye anayashikashika kwanza zikibaki sekunde 30 ndo anaanza ku'rush hata vitu vya maana anaviacha- Waangalie mfano Channel 10.
Sio yeye tu wote wanaonekana hawajui kabisa suala la muda, hebu waangalie mfano wenzao wa CNN walivyo strict na accurate.
Kwao suala la time management naona ni SIFURI KABISA...Kila siku wana'rush kama vile hawajui kipindi kinatakiwa kichukue muda gani kumalizika..
Anayekera zaidi ni huyu Joe Kihampa wakati wa akusoma heading za magazeti...watu tunakuwa very anxious kujua yaliyoandikwa lkn yeye anayashikashika kwanza zikibaki sekunde 30 ndo anaanza ku'rush hata vitu vya maana anaviacha- Waangalie mfano Channel 10.
Sio yeye tu wote wanaonekana hawajui kabisa suala la muda, hebu waangalie mfano wenzao wa CNN walivyo strict na accurate.