Iv Tanzania tunaelekea wp! kama hata siasa zetu wenyewe zinatushinda? Majukwaa ya siasa sasa yamekuwa ni sehem za watu kueleza tofauti zao. Mi nadhan wanachi wanahitaji kusikiliza sera zaid ya marumbano. Wananchi wana matatizo mengi wanataka kusikia nini suluhu ya matatizo yao na si nani ni nani. Tujifunze namna ya kutatua matatizo yatu, km suala ni kupakana matope basi viandaliwe vipindi maalum au midaalo au majukwaa na si kusubiri wkt wa uchaguzi.