Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
wanajamii,
Nimekuwa nikitafakari kwa mapana na marefu juu ya taifa letu kuwa ombaomba duniani ukiondoa Iraq na afganistani yenyewe ndio ya kwanza.
Ivi kweli wanajamii even somalia wanatushinda na hawana amani?
Jamani wanajamii even sudani?
Masikini Tanzania yetu!
Nimekuwa nikitafakari kwa mapana na marefu juu ya taifa letu kuwa ombaomba duniani ukiondoa Iraq na afganistani yenyewe ndio ya kwanza.
Ivi kweli wanajamii even somalia wanatushinda na hawana amani?
Jamani wanajamii even sudani?
Masikini Tanzania yetu!