Hivi kunakingine nyuma ya pazia au nini kilichokuudhi kiasi hicho juu ya uzi huu Wa Lara we King'asti? Mbona sioni kosa lolote alofanya binti Wa watu mpaka kukutoa mishipa ya shingo kiasi hicho? Hili ni jukwaa ka burudani kuna story za kutungwa na ukweli as long as zinaleta raha shida iko wapi?
Kwa nini kama thread haijakufurahisha usiipotezee tu kuliko kimshambulia kwa hasira kiasi hicho binti Wa watu kama kakunyang'anya mume? Sijapenda kabisa unavyofanya kwa kweli. Siyo vizuri kujiona kuwa wewe ni bora siku zote kuliko wengine. We huwa ni mtata sana huwa naona michango yako mingi. Wanawake mpendane jamani lol
Hajui kwamba watu wa humu ni great thinker wanaobserve tu kweli tangu nikiwa guest humu huyu dada amekuwa ananishangaza anavyoshambulia wenzake hata wenye share hawabehave hivi,ndo mana nimeuliza kwa uhalisia ukoje/ngoja nikupotezee ameuliza sensa thanks God ameipata