MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 166
Kuna jamaa mmoja kijana kabisa katika ile mikoa ya pwani inayosifika kwa ushoga achana na Dar, jamaa alikuwa na mkewe akifanya biashara za hapa na pale. Mkewe alikuwa akizipata nyepesi kuwa jamaa ni shoga lakini kama mjuavyo dada alipouliza tu kipigo alichokipata alijua mwenyewe na kumfanya aachane na habari ile. Maneno yalizidi kutokea, na mwisho hapa juzi kati Jamaa kafumwa yu kwenye nyumba ya mme wa mtu live!
Yule mwanamke aliyewafuma mmewe na yule shoga akatoweka akidai bora angemfuma na mwanamke kuliko na njemba mwenzake.
Huku nako mkewe shoga naye kachanganyikiwa hajui afiche wapi uso wake. kaondoka na anahaha maana hakutegemea na aibu kubwa.
Hivi jamani wana JF kuna haja ya kutetea sheria ya kuwabana wanaomkosoa Mungu Muumbaji!!! kwanini wasipewe adhabu kali.
Tunarudi Sodoma na Gomora? au hawa watu wana matatizo gani ?
Yule mwanamke aliyewafuma mmewe na yule shoga akatoweka akidai bora angemfuma na mwanamke kuliko na njemba mwenzake.
Huku nako mkewe shoga naye kachanganyikiwa hajui afiche wapi uso wake. kaondoka na anahaha maana hakutegemea na aibu kubwa.
Hivi jamani wana JF kuna haja ya kutetea sheria ya kuwabana wanaomkosoa Mungu Muumbaji!!! kwanini wasipewe adhabu kali.
Tunarudi Sodoma na Gomora? au hawa watu wana matatizo gani ?