Songasonga
Senior Member
- Mar 13, 2011
- 152
- 14
Wivu ni kizuizi cha maendeleo
Jamani Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kinatafunwa vilivyo na Makamu Mkuu wa Chuo,Prof.Rwekaza Sympho Mukandara.Kila akienda kwao kwa mapumziko ayatakayo wakati wowote ule(Kagera),hulisafirisha kwenda na kurudi shangingi lake tupu huku yeye akipaa na ndege.Huenda na wapishi wake na walinzi ambao wote hulipiwa na Chuo.Chuo kinadhoofu kwa sababu yake.Ana matumizi mengine mengi mno ya anasa.Huyu mtu hana huruma na fedha za Chuo kabisa....
ni shangingi lake binafsi au la chuo? na je, ni wapishi wake binafsi au wa chuo? kama ni la chuo hafai na ndiyo wanaturudisha nyuma hawa. kama la kwake binafsi then nakushauri usifuatilie maisha binafsi ya mtu.
Kikwete ni Mhaya mbona anapenda Ulaya kuliko Chalinze? Chenge anayefulia nguo Ulaya ni Mhaya? Mafisadi wote wanaotajwa ni Wahaya? Muangalie mtu na kasoro zake siyo kabila lake. Jitambilshe basi nawewe tujue kabila lako tukwambie kasoro zenu. Kuna ambao wakipata pesa cha kwanza ni kutafuta mwanamke au wanawake wa ziada hata kama wameoa. Wengine wanaongeza ng'ombe. Wengine wanasusa kwenda kwao maana siyo pa hadhi yao tena. Wengine hawawezi kuoa makabila yao kwa sababu wameeendelea,n.k. Wewe uko kundi gani?Ni ishomire yule,si unajua wahaya wanavyopenda mapompasi.......
Hiyo Avatar ina hatimiliki. Shauri yako utafungwa!!!!Jamani Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kinatafunwa vilivyo na Makamu Mkuu wa Chuo,Prof.Rwekaza Sympho Mukandara.Kila akienda kwao kwa mapumziko ayatakayo wakati wowote ule(Kagera),hulisafirisha kwenda na kurudi shangingi lake tupu huku yeye akipaa na ndege.Huenda na wapishi wake na walinzi ambao wote hulipiwa na Chuo.Chuo kinadhoofu kwa sababu yake.Ana matumizi mengine mengi mno ya anasa.Huyu mtu hana huruma na fedha za Chuo kabisa....
Hivi mnajua wakuu au watawala wa vyuo wanavyopatikana au kila mwenye dhamana ni lazima atuhumiwe? Mkandara binafsi hana madaraka ya kumteua au kumuajiri mtu anayemtaka yeye. Kuna checks and balances katika hilo. Jielimisheni kwanza kabla hamjaja na un-informed allegations.siyo COET tu bali amesambaa mpaka kwenye constituent Colleges! kila kona ni vibaraka wake waliojaa dharau na majivuno! wasomi wetu wengi ni "wajinga"bado!
Ni ishomire yule,si unajua wahaya wanavyopenda mapompasi.......
hivi na jakaya mrisho kikwete ni m-haya? Amatusi liyumba ni m-haya? Edward lowassa ni m-haya?
Kama mnayajua yote haya je, JF ndiyo mahali pekee pa kuyatoa. Nenda kwa Mwenyekiti wa Council ya Chuo husika, nenda kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi (Audit Committee), nenda TAKUKURU, peleka taarifa kwenye Tume ya Maadili ya Viongozi, nenda hata kwa Paroko au Shehe wa mtuhumiwa, n.k. Kama unayosema ni kweli huko kote utakosa mtu wa kuzifanyia kazi taarifa zako? Ni dalili za woga na unafiki kusemea gizani.Unajua faculty ya bussiness administration..aka bba
nenda kaulize open university kuhusu prof mbwete na account ya bba..anakula kama anakufa kesho mwanawane mbaya zaidi pesa ikiingia mule anaomba mkopo wa million 100 kwa miezi 8-10 na kurudisha ...
Jamana ana ghorofa lake makongo juu kama ikulu ya magogoni,na ana Benz S 550 mpk imeingia brbrn mwaka 2007 alitumia 140M, unategemea nani kwa mtu mwenye ukwasi wa namna hiyo?apande gari mpk kiziba na kurudi?ye ndege tu
Kama mnayajua yote haya je, JF ndiyo mahali pekee pa kuyatoa. Nenda kwa Mwenyekiti wa Council ya Chuo husika, nenda kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi (Audit Committee), nenda TAKUKURU, peleka taarifa kwenye Tume ya Maadili ya Viongozi, nenda hata kwa Paroko au Shehe wa mtuhumiwa, n.k. Kama unayosema ni kweli huko kote utakosa mtu wa kuzifanyia kazi taarifa zako? Ni dalili za woga na unafiki kusemea gizani.
Acheni majungu nyie. Mnajuaje huenda hayo ni marupurupu ya mkataba wake wa kazi? Mnajua contract yake ina nini? Mnakurupuka tu bila evidence. Mlacha mmempigia kelele weweeeeeee kwa majungu ya vi tutorial asistant matokeo yake vimeaibika tu hakuna hoja yoyote ya ukweli waliyotoa. Acheni Utoto
Jamani Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kinatafunwa vilivyo na Makamu Mkuu wa Chuo,Prof.Rwekaza Sympho Mukandara.Kila akienda kwao kwa mapumziko ayatakayo wakati wowote ule(Kagera),hulisafirisha kwenda na kurudi shangingi lake tupu huku yeye akipaa na ndege.Huenda na wapishi wake na walinzi ambao wote hulipiwa na Chuo.Chuo kinadhoofu kwa sababu yake.Ana matumizi mengine mengi mno ya anasa.Huyu mtu hana huruma na fedha za Chuo kabisa....
sioni ubaya kusafiri na wapishi na walinzi, sasa ulitaka akifika kwao akodi gari la kutembelea? acha hizo.