mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Ndugu zangu,
Ninaomba msaada wenu kwa yeyote anayejua dawa nzuri ya kukabiliana na panya,wadogo kwa wakubwa.Panya ukiweka sumu chakula hawakili,ila ukiweka chakula kisicho na sumu unakuta sahani tupu.Panya hawa wanakunywa juisi iliyoachwa kwenye glass bila kuiangusha.Panya hawa maandazi saba nimeyaacha mezani asubuhi yake nimekuta sahani kavu.
Msaada wenu tafadhali!
Ninaomba msaada wenu kwa yeyote anayejua dawa nzuri ya kukabiliana na panya,wadogo kwa wakubwa.Panya ukiweka sumu chakula hawakili,ila ukiweka chakula kisicho na sumu unakuta sahani tupu.Panya hawa wanakunywa juisi iliyoachwa kwenye glass bila kuiangusha.Panya hawa maandazi saba nimeyaacha mezani asubuhi yake nimekuta sahani kavu.
Msaada wenu tafadhali!