Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,127
- 6,764
jichunge na mifadhaiko, ukipanda tu wanajua kuwa wewe siyo member!!yaap best ila nimevaa jeans kwa sababu maalum si unajua mabasi yetu :typing:
jichunge na mifadhaiko, ukipanda tu wanajua kuwa wewe siyo member!!yaap best ila nimevaa jeans kwa sababu maalum si unajua mabasi yetu :typing:
UN wamesha declare internet kuwa haki ya kila mtu ..... afterall nowadays a bundle of internet 400MB is TZS 2500 per month, and if you use jf and other mail services it can last for three weeks
haina maana mtu anayetumia internet maisha ni mazuri kwake
Mkuu ... mbona kama unakremu .... internet inapatikana kwenye simu za viganjani na hata siyo lazima umiliki pc ndiyo unaweza access internet... waweza kwenda cafe na kupata huduma hii unapoihitaji kama vile unavyokwenda hospitali au polisi pale unapoumwa au unapofanyiwa uhalifu ..... sasa hivi hata matokeo ya mitihani hutolewa kwa internet .... siyo lazima kila mwananchi awe na internet access .... kama ilivyo siyo kila mwananchi ana bomba la maji .... wengine huenda kuchota maji kwa jirani na kwenye madimbwi na mito
Bado hujaweka point muhimu sana kwenye hii thread yako!
Ulisikia maongezi gani kwenye daladala?
Lakini pia kuwashauri watu wapande daladala ni maajabu kwangu, maana ndiyo usafiri wa kila siku wa 70% ya wanaJF hapa!
Sijakuelewa!
Jana mida ya jioni nilipanda dala dala kutoka maeneo ya Mwenge nikielekea Mbagala. Kama tunavyojua, kuna umbali mrefu kati ya maeneo haya!
Nimezoea kuona Shutuma nyingi sana dhidi ya serikali hapa jamvini lakini hizi zilikuwa kiboko!
Hapa jamvini watu tumekuwa tukiilaumu serikali na maisha magumu kwa mtanzania lakini kwa niliyoyaona jana nimegundua kuwa watu wengi hapa tuna fake! Haturepresent true picture ya hali halisi! Mtu utasemaje una maisha magumu wakati una uwezo wa kutumia Internet kukoment hapa JF 24/7?
Kwenye dala dala walikuwa real, na walichoongea kilikuwa na mguso wa aina yake!
Nawashauri pandeni dala dala mkitaka kujua mengi! Ilinigarimu tu 500 kutoka Mwenge mpaka Mbagala
Jana mida ya jioni nilipanda dala dala kutoka maeneo ya Mwenge nikielekea Mbagala. Kama tunavyojua, kuna umbali mrefu kati ya maeneo haya!
Nimezoea kuona Shutuma nyingi sana dhidi ya serikali hapa jamvini lakini hizi zilikuwa kiboko!
Hapa jamvini watu tumekuwa tukiilaumu serikali na maisha magumu kwa mtanzania lakini kwa niliyoyaona jana nimegundua kuwa watu wengi hapa tuna fake! Haturepresent true picture ya hali halisi! Mtu utasemaje una maisha magumu wakati una uwezo wa kutumia Internet kukoment hapa JF 24/7?
Kwenye dala dala walikuwa real, na walichoongea kilikuwa na mguso wa aina yake!
Nawashauri pandeni dala dala mkitaka kujua mengi! Ilinigarimu tu 500 kutoka Mwenge mpaka Mbagala
Bado hujaweka point muhimu sana kwenye hii thread yako!
Ulisikia maongezi gani kwenye daladala?
Lakini pia kuwashauri watu wapande daladala ni maajabu kwangu, maana ndiyo usafiri wa kila siku wa 70% ya wanaJF hapa!
Sijakuelewa!
nielekeze bac kukununua hili bundleUN wamesha declare internet kuwa haki ya kila mtu ..... afterall nowadays a bundle of internet 400MB is TZS 2500 per month, and if you use jf and other mail services it can last for three weeks
haina maana mtu anayetumia internet maisha ni mazuri kwake
UN wamesha declare internet kuwa haki ya kila mtu ..... afterall nowadays a bundle of internet 400MB is TZS 2500 per month, and if you use jf and other mail services it can last for three weeks
haina maana mtu anayetumia internet maisha ni mazuri kwake
masikini mbavu zangu weeeeee hahahahahahahahah MAHOKAAAAAAA! WALAHI tena NIMECHEKA VIBAYANi ipi inatisha kati ya hizi?Ama kweli Nyani haoni mgongowe!
Bado hujaweka point muhimu sana kwenye hii thread yako!
Ulisikia maongezi gani kwenye daladala?
Lakini pia kuwashauri watu wapande daladala ni maajabu kwangu, maana ndiyo usafiri wa kila siku wa 70% ya wanaJF hapa!
Sijakuelewa!