Jamani nyuma raha!!! tena RAHA kweli kweli asikwambie mtu.. nyuma raha .. wachanipasifie, nisipo pasifia atapasifia nani tena, yeyote mwenye kuujua VIZURI UTAMU wa nyuma!!... hebu kumbuka hapo nyuma .. soda ilikuwa Sh. 50/= mafuta ya kula robo sh. 100/= sabuni ya kipande sh. 30/=, unga robo sh. 150/= ......... acha tu huko nyuma.. we acha tu!!