Kwa wale wadau wa shule za st. Kayumba enzi hizo, hapa namaanisha watoto wa wakulima ambao wamesoma shule huku wakienda na...
kidumu
ufagio
jembe
kuni
mabingobingo
maua
nyasi
nyuzi za katani
mbolea..... na mazagazaga mengine yanayopatikana pande hizo za sitimbi. ukifika shule unafagia bonge la uwanja na kiranja anakagua, then mstarini parade tayari kwaajili ya mchaka mchaka..... nyimbo zake sasa....
ooooh dada mwajuma anainama.... anainuka...anaona hayaaaaa x 2
nyingine
mchakamchaka mwendo wa lazima......
nyingine
idd amini akifa mimi siwezi kulia, nitamtupa kager awe chakula cha mamba....
wadau hapa nimeweka vionjo tu kama unazikumbuka nyingine embu tupia ili watoto wetu nao waambulie angalau.
kidumu
ufagio
jembe
kuni
mabingobingo
maua
nyasi
nyuzi za katani
mbolea..... na mazagazaga mengine yanayopatikana pande hizo za sitimbi. ukifika shule unafagia bonge la uwanja na kiranja anakagua, then mstarini parade tayari kwaajili ya mchaka mchaka..... nyimbo zake sasa....
ooooh dada mwajuma anainama.... anainuka...anaona hayaaaaa x 2
nyingine
mchakamchaka mwendo wa lazima......
nyingine
idd amini akifa mimi siwezi kulia, nitamtupa kager awe chakula cha mamba....
wadau hapa nimeweka vionjo tu kama unazikumbuka nyingine embu tupia ili watoto wetu nao waambulie angalau.