jamani noti fake kwenye atm zinatoka wapi tena!!?

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,314
13,278
jana nimekwenda bank ya nmb-temeke,kwenda kuchukua pesa kwenye atm,nilitoa tsh.laki moja cha ajabu wakati nazihesabu nikagundua kuna sh.elfu thelathini(wekundu 3) ni bandia!nikatoka nikaingia ndani kumuona customer manager,nikamuonyesha hizo fedha,cha ajabu anasema haiwezekani kabisa!eti nimekuja nazo!ikabidi niachane nao,na nilipoulizia wa2 wanasema mbona,kwenye atm za nmb ni ki2 cha kawaida sana,hivyo nachelea kusema kwamba mjiadhari kwani huwezi kukwepa na kurudishiwa haiwezekani,ila mimi kuanzia sasa kama nachukua pesa nyingi nitalazimika kwenda kwa teller,japo huwa hawataki nitapambana,kwani cku unaweza kuta laki 2 zote fake c inakuwa balaa!na huu mchezo watakuwa wanaufanya wale wanaoongeza pesa kwenye hizi atm.na zile hela fake nilimrushia meneja.
 
Ungewawashia moto mpaka kwa meneja.
Wangekupa haki yako
OTIS
 
jana nimekwenda bank ya nmb-temeke,kwenda kuchukua pesa kwenye atm,nilitoa tsh.laki moja cha ajabu wakati nazihesabu nikagundua kuna sh.elfu thelathini(wekundu 3) ni bandia!nikatoka nikaingia ndani kumuona customer manager,nikamuonyesha hizo fedha,cha ajabu anasema haiwezekani kabisa!eti nimekuja nazo!ikabidi niachane nao,na nilipoulizia wa2 wanasema mbona,kwenye atm za nmb ni ki2 cha kawaida sana,hivyo nachelea kusema kwamba mjiadhari kwani huwezi kukwepa na kurudishiwa haiwezekani,ila mimi kuanzia sasa kama nachukua pesa nyingi nitalazimika kwenda kwa teller,japo huwa hawataki nitapambana,kwani cku unaweza kuta laki 2 zote fake c inakuwa balaa!na huu mchezo watakuwa wanaufanya wale wanaoongeza pesa kwenye hizi atm.na zile hela fake nilimrushia meneja.


Kumbe huu mchezo upo kote kote, niliwahi kutoa fedha CRDB ili nikazitume kwenye a/c ya mtu Barcleys. Sikuwa na noti kubwa mfukoni (kwamba ningeweza dhani nimepata kwingine) so nikaenda ATM ya CRDB nikatoa laki na nusu nikazikunjia mfukoni mie huyooo moja kwa moja bank ya Bacleys, kwa uaminifu wangu kwa ATM (kwa wakati huo) kulinifanya nisizikague zile pesa.

Nilihamaki fedha zimewekwa kwenye kijimashine cha kuhesabia fedha noti moja ya 10,000/ inakataa kabisaa, tela akaichukua na kuniambia ni feki, sikuamini ila ukweli ndo ulikuwa ndiyo huo.

Vitambulisho na risiti ya ATM ndivyo viliniokoa siku hiyo.

Ni tabia mbaya sana na ukiingia ndani wanakataa!!! Ila ipo siku
 
Back
Top Bottom