Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
vyote bwana
utajuaje kama unapendwa? au hata kama kiusanii? (ishakuwa poa poa tu)Kupendwa huwa kuna raha zaidi, ila inategemea unapendwa na nani! Ni usumbufu na mara nyingine ni kero sana kupendwa na usiye mpenda! Haujawahi ku-experience hii hali?
Kupendwa huwa kuna raha zaidi, ila inategemea unapendwa na nani! Ni usumbufu na mara nyingine ni kero sana kupendwa na usiye mpenda! Haujawahi ku-experience hii hali?
utajuaje kama unapendwa? au hata kama kiusanii? (ishakuwa poa poa tu)
kupenda kuna uhakika
Ivi kupenda na kupendwa kupi kuna maraha?
umewahi kukutana na wezi wa mapenzi? wewe acha maneno kabisaMapenzi huwa hayajifichi, ni kama kikohozi! Mtu akiwa anakupenda utajua tu unless uwe si mtu wa kujichanganya na watu na kuwa mvivu wa kubaini vitu!
tunaongea lugha moja Mbu....kupenda....
Kama dereva, nikiamua naongeza, napunguza au naegesha na kushuka...
.....kupendwa.....
Hujijui thamani yako, unaburuzwa tuu...hujielewi elewi unapendajwe...
Wala hujijui 'umependwa' au umetamaniwa tu...
Kupendwa huwa kuna raha zaidi, ila inategemea unapendwa na nani! Ni usumbufu na mara nyingine ni kero sana kupendwa na usiye mpenda! Haujawahi ku-experience hii hali?
hakuna hata moja....zote uzushi tu....
Kweli kabisa shemeji yangu kupenda nako raha lakini jua kuwa ni raha zaidi unapopendwa na kujua kuwa unapendwa ambako hukufanya nawe upende.
Kupenda pasipo kupendwa kuna maumivu yake aisee. Kupendwa kunakupa nguvu, moyo, hamu na raha ya kupenda.
Siku zote wekeza katika kutoa na si katika kupokea.
Bazazi ni Bazazi!
vyote viwili havina formula, what matters ni muda ule ulio naye! hapo onyesha upendo wote ulio nao, akivuka tu kizingiti cha mlango, waachie wenzio! raha ya mjini vijiti kupokezana!
Ivi kupenda na kupendwa kupi kuna maraha?
ni sawa tu na kutamani na kutamaniwa....Ivi kupenda na kupendwa kupi kuna maraha?
kupendwa raha inakupa nguvu, courage nakadhalika
wajameni mii nauliza , nina rafiki yangu wa kiume yani hatujawahi kusex penzi letu bado jipya asa once tulienda sehemu flani(simba kapakatwa) kwa ajili ya juice ,chips yai chakushangaza yani huyu rafiki yangu nilipo mpiga busu shavuni chakukojolea kikasimama sijui ni msisimko ama , kwani nyie wanaume mkibusiwa chakukojolea kinasimamaga?naombeni jibu