mke wangu akifanya kosa,.hapendi kuambiwa,nikimwambia ananuna wiki nzima,nikicheki simu zake nakuta msg za mamake akimpa pole na ushauri kana kwamba nimekosea kumwambia makosa yake,tena pasipo hata kuniuliza ili abalance story,naombeni ushauri jamani maana sina amani nyumbani kwangu mwenyewe.
kibaya zaidi ni kwamba anarudia makosa yaleyale,sijui ni makusudi?au anapenda tuvurugane tu
kibaya zaidi ni kwamba anarudia makosa yaleyale,sijui ni makusudi?au anapenda tuvurugane tu