Jamani Nisaidieni Mbinu za Kutenganisha Wanandoa!!!

ama kweli kupenda upofu.lakini haya mambo ya kulazimisha ndoa bado yapo.kuna ndugu yangu mmoja amelazimishwa kuolewa na mtu ambae hajampenda.binti alilia vilio vyote kuwa hataki,lakini wazazi wamemlazimisha hivyo hivyo,mpaka alitishia akiolewa tu atafanya visa ili aachike.hao wazazi wanaamini binti akikaa muda mrefu maybe atakuwa na wanaume,kwani huyo binti ametulia sana na kaolewa na bikira yake.kwa hiyo hayo mambo yapo.Ameolewa tu kuwaridhisha wazazi,wazazi wanaamini baadae huyo mume atamzoea na atampenda
 
Mambo vipi familia kubwa ya JF!!

Kwanza naomba samahani kwa hii maada lakini nipo serious kupita maelezo!!
Nilikuwa na demu wangu 2lipendana sana lakini wazazi wake walimpenda zaidi coz waligoma nisimwoe mwanae akawa kaolewa na jamaa mwenye pesa!

Sasa hivi wapo kwenye ndoa wiki 2 lakini naendelea kula TUNDA kama kawa na tunachat nae muda wote hata kuwasiliana full tym!Binti ananipenda na yupo tayari kwa lolote!!

Kabla hajaolewa nilimvisha PETE ya uchumba then jamaa kamalizia PETE ya NDOA!!
Ni kama movie lakini ni kweli sasa hivi 2na mpango wa kumfanya jamaa atoe TARAKA!!

Jamani naomba mnisaidie mbinu za kufanya jamaa atoe talaka coz 2na mipango mingi sana na huyu Binti lazima nimwoe hata kama ni Bomani!! Nifanye nini??!!

Huyo binti ni mkware tu angekua anakupenda kama unavyodai asingekubali kuolewa. Kuna mifano mingi ya mabinti waliotoroshwa toka majumbani mwao kwa kukimbia kuolewa na watu wasiowakubali. Lakini huyo wa kwako mmmh!!! Tapeli tu. Huyo anahitaji kumegwa zaidi ya kuolewa. Ukifanikiwa kumtoa kwa mumewe na kumuoa atatafuta mtu mwingine wa kummega nje ya ndoa.
 
Alikubali ili awaridhishe wazazi wake!!
Anavunja ndoa kuonesha TRUE LOVE aliyonayo kwangu!!
Unajua ukikataa kuolewa ni kitu kikubwa but TARAKA haitawashi2a wazazi watasema 2limlazmisha!!
true love?? hamna lolote ES anakuhadaa anapenda tu uendelee kummega hakuna cha zaidi labda mwenye mipesa hamridhishi upande wa 6 x 6
 
Hapo umenena KISUKARI mwaga MBINU sasa!!!

ama kweli kupenda upofu.lakini haya mambo ya kulazimisha ndoa bado yapo.kuna ndugu yangu mmoja amelazimishwa kuolewa na mtu ambae hajampenda.binti alilia vilio vyote kuwa hataki,lakini wazazi wamemlazimisha hivyo hivyo,mpaka alitishia akiolewa tu atafanya visa ili aachike.hao wazazi wanaamini binti akikaa muda mrefu maybe atakuwa na wanaume,kwani huyo binti ametulia sana na kaolewa na bikira yake.kwa hiyo hayo mambo yapo.Ameolewa tu kuwaridhisha wazazi,wazazi wanaamini baadae huyo mume atamzoea na atampenda
 
Kama stori ya kutunga vile!!!Anyway kama ni kweli basi kuna mambo yafikirie kwa kina:-1.Mtenda hutendwa 2.Huyo dada hajatulia,ukimchukua anaweza kuwa anaenda kuchukua pesa kwa jamaa(c anazo),kama mnataka kuendelea kusaidiana kuchakachua sawa.3.Demu mwenyewe utulivu ziro-hana mcmamo,atulie na mmoja.fikiria hayo kwa KINA utapata jibu
 
wewe!!!!
unaota?
ulikuwa wap kuzuia b4 awajaenda kansan?
km anakupenda kweli ANGEKUWA NA MSIMAMO WA KUMKATAA UYO BWANA MAPESA ILI ABAK NA WEWE..?
UYO DEMU ANAPENDA MITALA NA SI KM ANAKUPENDA WEWE....kwa kipnd iki issue za kulazimishana km enz zileeeee azipo tena ...ukionyesha msimamo mara mbl tatu bas wazazi wanakuacha uendelee na umpendae....
endelea kumega mpk pale MTAKAPOFUMANIWA NDO UTAJUA CHA KUFANYA.

Sikutegemea kama wewe rose1980 unaweza kutoa ushauri kama huo!!!!! Kumbe na wewe siku mojo moja huwa unatoa pumba???!!! Yaani unashauri mwanamke mwenzio aliye ndani ya ndoa aendelee kumegwa!!! Kweli nimeamini kuwa wanawake hampendani wenyewe kwa wenyewe. Ushauri huu haufai, utaangamia jamaa akiju kwa hujui huyo jamaa amempenda kiasi gani huyo dada


jaribu kujiweka katika nafasi ya huyo mume, kisha kuna mtu anakugongea mke wako na anataka kuachanisha ndoa yenu, wewe ungejisikiaje?

Angesikia uchungu kwani mkuki kwa nguruwe kwa binaaddamu uchungu

Kweli wewe una matatizo, yaani huoni kua huyo binti ni muongo na hakupendi? simple reasoning, kama sasa ivi yuko kwene ndoa na una-do nae the same applies akija kwako ataendelea ku-do huko kwingine ajuako, sasa je, utakua tayari kusikia stori tamu kama hizo kua shemeji ana midume kibao nje? she was not meant to be with you, think big mpwa mbona wapo wengi tu?

I dont think is a good idea,,, what u have to do is go on with someone else na utasahau tuu nini kilipita,,,kwani wenzio wako kwenye ndoa tayari kama kweli wampenda basi muache muokoe na mitihani kama hiyo,,,na we tafuta wako kwani hata wazazi wake hawkutaki,,,

mkuu wako wengi,sio lazima huyo.kama ilishindikana mwanzoni wakati umeshamvisha na pete ya uchumba, nini kinakufanya ufikirie itawezekana sasa hivi wakati ameshaolewa?ushauri wangu we potezea tu.kwanza demu mwenyewe kakiri kumpenda huyo jamaa ndio maana kaolewa.na kwa ninavyoona amekua anamegwa na huyo jamaa tangu zamani.tafuta kang'amuzi kipya tu, hicho kwanza tayari used kuliko mpaka sasa

Huyo binti ni mkware tu angekua anakupenda kama unavyodai asingekubali kuolewa. Kuna mifano mingi ya mabinti waliotoroshwa toka majumbani mwao kwa kukimbia kuolewa na watu wasiowakubali. Lakini huyo wa kwako mmmh!!! Tapeli tu. Huyo anahitaji kumegwa zaidi ya kuolewa. Ukifanikiwa kumtoa kwa mumewe na kumuoa atatafuta mtu mwingine wa kummega nje ya ndoa.
sawa mkuu nimekusoma ila kumbuka mwanamke sio mzigo ambao unaweza ku-possess bila ridhaa yake.hata kama wazazi watalazimisha vipi kama hataki kuolewa hataolewa.ndio maana nakwambia mwanamke aliridhia kuolewa na huyo jamaa.si ajabu kua mwanamke hata hakumuonesha huyo jamaa pete uliyomvisha.pete si inavaliwa na kuvuliwa muda wowote!kwa sababu kama jamaa angeiona lazima angelianzisha tu.

Hayo yote ni majibu sahihi, chagua moja linalokupendeza. Huyo mke hangekuwa mwema kwako
Burudika na nyimbo hizi






 
Last edited by a moderator:
mie sioni tatizo hapa,kwa nini umtoroshe????anakupa unamega tani yako...mnawasiliana vya kutosha anytime,nini unachokikosa sasa hivi mpaka ufikirie kumtorosha????wacha uchoyo na ubinafsi...kula na mwanaume mwenzio.:redfaces::whoo:
 
Mambo vipi familia kubwa ya JF!!

Kwanza naomba samahani kwa hii maada lakini nipo serious kupita maelezo!!
Nilikuwa na demu wangu 2lipendana sana lakini wazazi wake walimpenda zaidi coz waligoma nisimwoe mwanae akawa kaolewa na jamaa mwenye pesa!

Sasa hivi wapo kwenye ndoa wiki 2 lakini naendelea kula TUNDA kama kawa na tunachat nae muda wote hata kuwasiliana full tym!Binti ananipenda na yupo tayari kwa lolote!!

Kabla hajaolewa nilimvisha PETE ya uchumba then jamaa kamalizia PETE ya NDOA!!
Ni kama movie lakini ni kweli sasa hivi 2na mpango wa kumfanya jamaa atoe TARAKA!!

Jamani naomba mnisaidie mbinu za kufanya jamaa atoe talaka coz 2na mipango mingi sana na huyu Binti lazima nimwoe hata kama ni Bomani!! Nifanye nini??!!

Usitushirikishe ma dhambi yako, kilichounganishwa na mungu mwanadam hawezi kikitenganisha, huyo kicheche wako ni mcharuko hata akija kwako mumewe ataendelea kumkula vilevile so wewe usijione kidumee ni vile huyo dada haridhiki na moja. Unasema yuko tayari kwa lolo na anakupenda that is BIG NO, Kwanini hakufanya lolote alivozuiliwa kuolewa na wewe? Hivi wewe kwanini hufikirii kwenda huko, kwao hawakupendi upo tu kwani lazima.
 
Wewe inabidi uwe mama ushauri mkuu, maana hii ndo altimatum hamna zaidi la kumshauri
wewe!!!!
unaota?
ulikuwa wap kuzuia b4 awajaenda kansan?
km anakupenda kweli ANGEKUWA NA MSIMAMO WA KUMKATAA UYO BWANA MAPESA ILI ABAK NA WEWE..?
UYO DEMU ANAPENDA MITALA NA SI KM ANAKUPENDA WEWE....kwa kipnd iki issue za kulazimishana km enz zileeeee azipo tena ...ukionyesha msimamo mara mbl tatu bas wazazi wanakuacha uendelee na umpendae....
endelea kumega mpk pale MTAKAPOFUMANIWA NDO UTAJUA CHA KUFANYA.
 
Siku moja utamkuta amecharangwa kama kondoo aliyekamatwa na simba. Achana na hiyo habari, akimkuta siku hiyo!!! atajuta kuzaliwa
mie sioni tatizo hapa,kwa nini umtoroshe????anakupa unamega tani yako...mnawasiliana vya kutosha anytime,nini unachokikosa sasa hivi mpaka ufikirie kumtorosha????wacha uchoyo na ubinafsi...kula na mwanaume mwenzio.:redfaces::whoo:
 
Ama kweliunajua kupenda, Sheria ya ndoa imeanisha matendo kadhaa ambayo yanaweza kuvunja ndoa!Mojawapo ni uzinzi :hungry: Sasa ili mfanikishe azma yenu jilengesheni awafumanie! ka vyovyote ndoa haitakuwepo ...:eek: .....hilo linawezekana kama hatakuwa na silaha karibu au kama yeye si Mhehe!
 
Nimekupata Mkuu natamani sana KUFUMANIWA lakini............ntawajibu kesho
coz now naenda KULALA kwanza nitafakari na MBINU nyingine!!!

Ama kweliunajua kupenda, Sheria ya ndoa imeanisha matendo kadhaa ambayo yanaweza kuvunja ndoa!Mojawapo ni uzinzi :hungry: Sasa ili mfanikishe azma yenu jilengesheni awafumanie! ka vyovyote ndoa haitakuwepo ...:eek: .....hilo linawezekana kama hatakuwa na silaha karibu au kama yeye si Mhehe!
 
Usitushirikishe ma dhambi yako, kilichounganishwa na mungu mwanadam hawezi kikitenganisha, huyo kicheche wako ni mcharuko hata akija kwako mumewe ataendelea kumkula vilevile so wewe usijione kidumee ni vile huyo dada haridhiki na moja. Unasema yuko tayari kwa lolo na anakupenda that is BIG NO, Kwanini hakufanya lolote alivozuiliwa kuolewa na wewe? Hivi wewe kwanini hufikirii kwenda huko, kwao hawakupendi upo tu kwani lazima.
Kilichounganishwa na MUNGU......! Hivi ni kweli Mungu hawezi kuunganisha watu wa aina hii hawa wameunganishwa na shetan! Hi mistari mingine ya Dini inatumika vibaya kuhalalaisha mateso katiaka ndoa....! Smambo yote yanayofanywa na DINI za leo naya Kimungu!
 
Mambo vipi familia kubwa ya JF!!

Kwanza naomba samahani kwa hii maada lakini nipo serious kupita maelezo!!
Nilikuwa na demu wangu 2lipendana sana lakini wazazi wake walimpenda zaidi coz waligoma nisimwoe mwanae akawa kaolewa na jamaa mwenye pesa!

Sasa hivi wapo kwenye ndoa wiki 2 lakini naendelea kula TUNDA kama kawa na tunachat nae muda wote hata kuwasiliana full tym!Binti ananipenda na yupo tayari kwa lolote!!

Kabla hajaolewa nilimvisha PETE ya uchumba then jamaa kamalizia PETE ya NDOA!!
Ni kama movie lakini ni kweli sasa hivi 2na mpango wa kumfanya jamaa atoe TARAKA!!

Jamani naomba mnisaidie mbinu za kufanya jamaa atoe talaka coz 2na mipango mingi sana na huyu Binti lazima nimwoe hata kama ni Bomani!! Nifanye nini??!!

pole sana kwa yaliyokukuta, ujue una roho ya uzinzi, nani alikuambia kufanya uasherati na mke wa mtu kunakupa uhalali wa kuwa mkeo mtarajiwa, usijidanganye kwa kuzini kunakupa njia ya kuoa. Kumbuka kuoa mke mwema kunatokana na ushetani unaofanya. Forget about that, sory fo strong language lakin i hav 2. Kama unabisha keep on, it wil back fire! Nakuombea kwa Mungu ufunguke macho uone reality then you face the quencequense right in frönt of ur face. Huwezi jua ni kuwa uliepushwa na janga lililokuwa mbele yako.
 
Duh
Yaani hii ni XXXL Eng upo tayari heshima ishuke lakini kimwana umeoa,sasa kuna mambo mawili ili kufanikisha ili swala lako ila kabla ya yote inatakiwa uwe tayari na huyo binti pia maana ni hatari lakini salama.

1. Inatakiwa ujue huyo jamaa anampenda kiasi gani huyo binti (Anaweza mfumania na wewe kitandani kwake akamsamehe ndoa iendelee ila akadeal na wewe inavyotakiwa)
2.Huyo binti ana nia thabiti yakufanya hivyo maana asije kumridhisha mwingine matakwa yake
3. Jamaa anahasira level gani (kuna watu hawana mchezo kwenye kutunza heshima anaweza kukufanyia kitu mbaya aisee)

Ukipata majibu ya haya na ukaridhika kuendelea na zoezi
-Anzaa kwa kumtia mimba binti
Naendelea kufikiria ...........nitareje.

NB: hii ni hatari kwa afya yako na si vizuri kutenganisha ndoa tafuta msichana mwingine,ila mtoto akililia uwembe mpe panga.
 
kweli naona unatamani mungu akupumzishe kwa amani. Kwa heri mi ngoja nilale kidogo nipime hichi kitanda kama kitafaa kwa matumiz kesho

hv unafikiri Mungu anahongwa, i'm very bitter on this. Sitakushauri kuvunja ndoa ya mtu kwa maslahi yako. Yani binti anakubal kuzini akiwa honey moon? Huu ni ushetani. Ndugu yangu anza maisha yako upya. Sioni mantiki ya anayedaiwa eti aliolewa kuridhisha wazazi wake, aah wapi kalangabaho... Kama ni kweli hajui kupenda ni nini. Na kama ni hivyo hata wewe hakupeni ni tamaa tu ya ngono, trust me atakapopata mwanaume mwingine aliyemnogea na wewe atakusaliti. Utapimiwa kipimo hichohicho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom