ama kweli kupenda upofu.lakini haya mambo ya kulazimisha ndoa bado yapo.kuna ndugu yangu mmoja amelazimishwa kuolewa na mtu ambae hajampenda.binti alilia vilio vyote kuwa hataki,lakini wazazi wamemlazimisha hivyo hivyo,mpaka alitishia akiolewa tu atafanya visa ili aachike.hao wazazi wanaamini binti akikaa muda mrefu maybe atakuwa na wanaume,kwani huyo binti ametulia sana na kaolewa na bikira yake.kwa hiyo hayo mambo yapo.Ameolewa tu kuwaridhisha wazazi,wazazi wanaamini baadae huyo mume atamzoea na atampenda