Jimmy GP
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 253
- 136
Kuna wimbo nilishawahi kusikia mwana jf anauulizia unaosema ""sina demu, kama unavyoniona mpz ndio maana ninekuchagua wewe malkia wangu.. Sio kwamba mimi sitaki demu ila sijamwona mwenye sifa na uzuri alionao kama wewe malkia wanguuuu"""
Anayeufahamu pls naomba anipe maelekezo niupate huo wimbo n mzuri sana
Thanks
Anayeufahamu pls naomba anipe maelekezo niupate huo wimbo n mzuri sana
Thanks