Hahahaaaa..... Nimelipenda tangazo lako..! Mi nina miaka 57, nakufaa?
Hahahaaaa..... Nimelipenda tangazo lako..! Mi nina miaka 57, nakufaa?
Wewe si ni nyanya yake jamani!
Au unataka kumbemenda mwenzako?
Miaka 57 bado unatafuta kuolewa tu...
Kuna ubaya?
huo umri wa kulea wajukuu bhanaa...jua linaelekea magharibi
Ooohooo.... Wajukuu watalelewa na mume atalelewa vile vile..! Lol
Hakuna kigezo alichotoa, wee unajuaje kama na yeye ana miaka 65.. ! Unyanya uko wapi hapo? Lol
OOps sorry niliona vibaya nikafiriki yeye ni 27 halafu wewe 57 unampa offer.
Weka angalau minimum vigezo kama mke unayemtafuta awe wa jinsi ya kike maana hii dunia ya sasa imebadilika sana mdogo wangu, wanaweza kukupm watu wa ajabu!kwa alie tayari aniibox ASAP hakuna kigezo chochote zaidi ya wewe mwenyewe ulivyo.
Weka angalau minimum vigezo kama mke unayemtafuta awe wa jinsi ya kike maana hii dunia ya sasa imebadilika sana mdogo wangu, wanaweza kukupm watu wa ajabu!
Sorry, nilikuwa napita tu!
I LOVE UHahahaaaa..... Nimelipenda tangazo lako..! Mi nina miaka 57, nakufaa?
Hahahaaa.... Hakuna cha offer hapa, ndio maana nikamuuliza mapemaaaaaaaaa... Kama ana 27 namtakia usakaji mwema wa mke..! Ila kama ana 60 na kuendelea twaweza ongea lugha moja..!
I LOVE UHahahaaaa..... Nimelipenda tangazo lako..! Mi nina miaka 57, nakufaa?
Mke umempata....lakini muathirika