Habari niliyoisikia JK, amemuoa Mdogo wake RA juzi je hizi ni habari za ukweli??Mwenye habari kamili atujuze! Ila kama kweli hii itakuwa zaidi ya kiboko!!
huyu jk mbona ananichanganya-kwani ana wake wangapi hadi sasa?hata kama polygamy inaruhusiwa,huyu naona bila kukanywa ata ultra viresHabari niliyoisikia JK, amemuoa Mdogo wake RA juzi je hizi ni habari za ukweli??Mwenye habari kamili atujuze! Ila kama kweli hii itakuwa zaidi ya kiboko!!
Hata mimi nimesikia...lisemwalo lipo..........