Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,669
Wasalaam ndugu wapendwa.. Nina mpenzi wangu kwa zaidi ya miaka mitatu,tulifahamiana wakat huo yeye akiwa bado chuoni,nilimpenda kweli na yeye nafikir alinipenda..tumeendelea kwa furaha muda mrefu,lakini badae nikaja kugundua ana mtu uko kijijini kwao,ni mpenzi wake toka wakiwa secondary,ila jamaa ni ticha ya primary anampenda sana uyu mdada...nilipogundua nilifuatilia bila mpenzi wangu kujua..badae nikamwambia...Alilia sana,akakiri kuwa jamaa anampenda sana ila yeye hamfeel jamaa..ulikuwa eti ni utoto wa kishule shule,lakin jamaa anafahamika kwa wazazi wa mwanamke,amemsaidia sana wakati mwanamke akiwa chuo..boom likiisha jamaa ana-supply mkwanja. Lakin mwanamke anasema jamaa si wa ndoto zake,ni kweli alimsaidia na huwasaidia pia wazaz wake uko kijijini..lakini haisi kuendelea kuwa nae!jamaa nae analalamika,anahuzunika kuwa kaghalamia na mshahara wake wa ualimu..hawezi kumwacha msichana Mi sitambuliki kwao,japo msichana ananipenda,analia sana..wiki jana nimempa msimamo kuwa sitaendelea nae!frankly speaking alizimia around 45 minutes...analalamika kanipenda,hajisikii kuendelea na jamaa..na mimi namwonea huruma mwalimu(boyfriend wake),ananung'unika sana,analalamika kaibiwa mjini na mbaya zaidi jamaa hana access ya kuja mjini...NIMEAMUA KUJITOA NIMWACHE JAPO NILIMPENDA SANA NA HAPA MJINI NIMEMPA KAMPAN SANA YA KUPATA KAZI!