komedi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 204
- 17
Jamani nimeoteshwa sasa hivi, ndo nimeamka niwaambie. Nimeoteshwa nichemshe kunguru akiwa hai kwenye chungu kikubwa halafu nichanganye na mavi ya nguruwe. Supu inayopatikana hapo ni dawa ya magonjwa yote sugu.
Njooni mpate kikombe. Sh 500 tu. Njoo upone, wahi uepuke foleni.
Wahi kabla TFDA hawajanisweka segerea.
Huu mwaka wa kikombe bana!
Njooni mpate kikombe. Sh 500 tu. Njoo upone, wahi uepuke foleni.
Wahi kabla TFDA hawajanisweka segerea.
Huu mwaka wa kikombe bana!