Jamani nimekwama

Kijamani

Senior Member
Nov 10, 2009
159
9
Wana JF nimekwama naomba wale wenye vigezo wanifumbulie.
Ninahitaji mchumba wa kuoa lakini bado sijafanikiwa huko mitaani kukumbana na chaguo halisi.
Sifa;
1.Awe mweupe
2.Umri 18 hadi 25
3.Hajawahi kuolewa
4.Elimu kuanzia sekondari(kidato cha nne na kuendelea)
5.HIV negative
Wenye sifa tafadhali tuwaisliane kupitia kijamani@hotmail.com.
Niko siriasi na ndio maana nimeingia jamvini kuulizia wadau kwani watu wanatoka kupitia hapa pia.
 
Ongea na wazee wako, kama bado wapo hai au jaribu kuwataka ushauri ndugu zako wa karibu.
 
Back
Top Bottom