Wana JF nimekwama naomba wale wenye vigezo wanifumbulie.
Ninahitaji mchumba wa kuoa lakini bado sijafanikiwa huko mitaani kukumbana na chaguo halisi.
Sifa;
1.Awe mweupe
2.Umri 18 hadi 25
3.Hajawahi kuolewa
4.Elimu kuanzia sekondari(kidato cha nne na kuendelea)
5.HIV negative
Wenye sifa tafadhali tuwaisliane kupitia kijamani@hotmail.com.
Niko siriasi na ndio maana nimeingia jamvini kuulizia wadau kwani watu wanatoka kupitia hapa pia.
Ninahitaji mchumba wa kuoa lakini bado sijafanikiwa huko mitaani kukumbana na chaguo halisi.
Sifa;
1.Awe mweupe
2.Umri 18 hadi 25
3.Hajawahi kuolewa
4.Elimu kuanzia sekondari(kidato cha nne na kuendelea)
5.HIV negative
Wenye sifa tafadhali tuwaisliane kupitia kijamani@hotmail.com.
Niko siriasi na ndio maana nimeingia jamvini kuulizia wadau kwani watu wanatoka kupitia hapa pia.