jamani nimeibiwa mtandaoni!

wanajamii nimewaletea hiki kitu ili kuwashtua yaliyonitokea na kuwajulisha kuwa macho,juzi jumatatu nimepata mail kutoka yahoo ikini warn kwamba kuna wizi wa mail address umetokea na ni lazima nijaze baadhi ya maswali kuthibitisha kama hiyo ni mail address yangu au vipi within two weeks,otherwise wataifunga,nikajaa king nikaijibu hiyo mail kwa kujaza yahoo I.D,yangu na password na address na mahali nilipo nikiamini ni msg ya yahoo kwenda kwa wateja wao!kilichotokea sasa ni kwamba hiyo mail address mpaka sasa kila nikijaribu ku log in haikubali tena,nikawa nashangaa,sasa leo nimepigiwa simu na watu wangu wa karibu na kusema wamepata strange mail toka kwenye ile mail address yangu kwamba nina shida kubwa nahitaji pesa wanitumie!ndio namimi nikashtuka,sasa kingine wanachofanya hao jamaa ni kama niliwahi kufanya malipo yoyote kupitia mtandaoni au kama nina mail yoyote yenye bank acc no na pin no ndo nimeliwa hivyo kwani sasa mail zangu zote wanazisoma wao na kuzijibu na kujaribu kama watampata wa kumuibia kwa kutumia jina langu,hivi hapa kesho niamkie benki kufunga acc zote ili nifungue zingine,habari ndio hiyo,kuweni macho mkipata mail kama hiyo toka hao jamaa wanajifanya yahoo customer care

Go to google search engine type 419 scammers, you will learn alot about these guys! any way welcome to the world of internet
 
Pole sana ndugu ye2. Mi jinsi nilivyo-sensitive na email na password yangu, hata nlipokua najiunga JF nilitakiwa kujaza email na PASSWORD yangu. Sasa nikajiulizaaa why all these, mpaka password?! Nikaona nijaze 2 coz nliona kuna mambo mengi ntakua nikiya-miss nsipojiunga JF. Naelimika hapa.
Labda MOD unielimishe, wakati wa kujiunga email na kikubwa zaid password ni kwa ajili ya nini? Kwan m2 anapoandika jina lake na particulars zingine zake bila PW hiyo inakua haitoshi? Kama vyatosha kwanini hiyo field ya PW isiondolewe. Mimi ni mjinga ktk hili naomba MOD au wataalam wengine mnijuze.
 
Lazima ufanye haraka kuwasiliana na wadau wako maana Heshima na utu wako uko mbioni kutoweka.
nimesoma habari yako kwa wogo na huzuni. ninaitumia kama somo kwa marafiki zangu, kwa ruhusa yako naomba niicopy , nakuweka kwenye Forum tofauti na hii ili watu wengine wapate taarifa kwa madhumuni ya kujifunza.
 
I take it as a very serious matter!
Umakini unajitajika sana na mambo ya mitandao haya!
Tunashukuru kwa darasa hili kubwa ulilotupa!!
 
Nenda kwenye Reset Password, alafu watakutumia link ya kucreate new password kwenye alternate email address iloyoitoa wakati unaregister account yako
 
this is kinda scary!!!!


This is no joke

if a person called simon ashton ( simon25@hotmail.co.uk ) contacts you through email don't open the message.. Delete it because he is a hacker!!
tell everyone on your list because if somebody on your list adds him then you will get him on your list. He will figure out your id computer address, so copy and paste this message to everyone even if you dont care for them and fast because if he hacks their email he hacks your mail too!!!!!...
 
Pia mimi walinitumia huu ujinga wao! Eti Yahoo inafungwa hivyo niwape password yangu! Niliwajibu matusi na kumalizia funga account! mbona hawajaifunga mpaka leo!! Kumbukeni...Duniani hakuna cha bure hata siku moja!
 
Pole sana. I had the same problem but it has been resolved by yahoo and I got my email back. This is what u need to do, You should contact Yahoo Account Verification. They will verify your personal information that you entered when you opened your account and then issue you a new password. They can be reached by calling 408-349-1572 option 2, option 2.
 
Back
Top Bottom