Ndio nimerudi jana kutoka Mbekenyela Lindi kusimamia Harusi ya Shoga yangu, hamjambo wana JF wote!
nawatakia sikukuu njama za X-Mass na Mwaka Mpya, Inshaallah Mungu akipenda nitakuwa Jijini Dar, tusinyimane Pilau jamani!
Hahahhahaa...hivi haya mambo bado yapo jamani...! Umenikumbusha mbali aisee..Karibu! Umefika muda mzuri ndiyo tunainjika sufuria "Jikoni ongezeni maji tuna mgeni". Haya Da' Zindu tupe story harusi ilijibu ? Au abracadabra darasa lilikutwa halina madawati ? Alafu nawewe ya kwako lini ?
Mwenzangu nilimpeleka kwa Sheha, akaomba apewe muda mpaka Januari atanirejeshea.............. siku zinahesabika mwanakwetunimekukumbuka leo hii hii.......nilitaka kujua yule shogako aliyekuazima zile zahabu zako alikurudishia....?...au ndo huyo aloolewa.....?
Karibu tena Zinduna, umetuletea korosho?
Karibu! Umefika muda mzuri ndiyo tunainjika sufuria "Jikoni ongezeni maji tuna mgeni". Haya Da' Zindu tupe story harusi ilijibu ? Au abracadabra darasa lilikutwa halina madawati ? Alafu nawewe ya kwako lini ?
Karibu Zinduna
Tumemiss vituko vyako
Hope umerudi na kasha halijatumiwa
kumbuka uliondoka ukiwa umesema halijatumiwa
nakuja kulipima leo leo
Korosho au KONGOSHO.......LOL, nilikuja na korosho lakini ndugu zangu wa hapo Dar wamezigombea, subiri nakuja kula sikukuu huko Dar, nitakuletea Halua, nitakujuza pa kuipata, au hupendi halua wewe!?
Weee binti ulipotea kweli.... Mzima wewe?
Haya nenda jukwaa la wakubwa ukatuongezee yako pale (sijui una access tumuombe Smiles akupatie?)lol
Weee binti ulipotea kweli.... Mzima wewe?
Haya nenda jukwaa la wakubwa ukatuongezee yako pale (sijui una access tumuombe Smiles akupatie?)lol
Da AshaDii, Mie sijawahi ona hilo jukwaa la wakubwa, natakiwa kuwa na passaword, na je nitaipataje........?