Million sita tu!!!
Halafu huyo aliyepiga picha hii kama namfahamu!
Elekea kimboka pale buguruni utapata kila kitu ila usisahau kutupa report ahahahaaaaa
Vijisent tu hivyo kaka!
Mbuziiiiiiiiiii ama kweli wewe umepinda sana!!! Duh, si nafuu uwaalike akina Preta, Ciello, slim na wanajamvi wetu wengine walau wakasaidie kusherehekea ushindi wa kishindo wa chaguzi za leo? Ila mimi mwenzangu naomba uniache maana huo mguu wa kuku unatisha.