Kati ya wilaya tano za mkoa wa mara,yaani Musoma mjini,Musoma vijijini,Serengeti,Bunda,Tarime na jimbo la Kibala,ni katika wilaya ya serengeti ndo mheshimiwa dhaifu aliongoza kwa kura nyingi,tena ilikuwa kati ya tatu au ya nne kitaifa kwa wingi wa kura za dhaifu.Wakati huo ni ya tano kwa umaskini kitaifa kwa takwimu za 2005.Ina eneo la km za mraba 10,300 kati ya hizo km za mraba 7,000 ni eneo la mbuga ambalo ndani yake mr dhaifu ana hotel kubwa sana pale na nadhani ndio moja ya sababu zinazomfanya alazimishe kujenga barabara ya lami kupitia mbugani serengeti pamoja na wataalamu kumkatalia.Jambo moja nililogundua ni kwamba injili ya ukombozi kisiasa haijafika sawasawa pale,upinzani pale ni dhaifu.Watu wa serengeti tuliomo humu jamvini,twende serengeti tukawakomboe ndugu zetu kutoka mikononi mwa magamba,hili linawezekana kabisa.Nipeni mchango wa mawazo