Ni mwaka wa pili tangu nioe, ila mwezi wa 11 mwaka jana mke wangu kaanza mauzauza. Anatoka asubuhi kurudi ni saa sita au asubuhi ya siku inayofuyata. Kafanya hivyo kwa muda wa miezi miwili sasa na mimi sikutaka kumuuliza wala kumugasi kwa lolotelile saabu nampenda sana na ninafahamu yeye pia nimtu mzima so maswala ya kuulizana ulikuwa wapi au umelala wapi si ishu.
Ila jana kaniambia anataka taraka yake tena akiwa analia kumuuliza sababu, anasema eti si mjali kwa sababu alikuwa akilala nje na kuchelewa kurudi nyumbani akitegemea nitamuuliza na kumfokea lakini haikuwa hivyo so anahisi naeza nikawa simpendi au kama si hivyo, basi ninademu mwingine na anataka ujua msimamo wangu uko wapi? Mpaka sasa sijajua la kufanya nisaidieni ndugu zangu.
Ila jana kaniambia anataka taraka yake tena akiwa analia kumuuliza sababu, anasema eti si mjali kwa sababu alikuwa akilala nje na kuchelewa kurudi nyumbani akitegemea nitamuuliza na kumfokea lakini haikuwa hivyo so anahisi naeza nikawa simpendi au kama si hivyo, basi ninademu mwingine na anataka ujua msimamo wangu uko wapi? Mpaka sasa sijajua la kufanya nisaidieni ndugu zangu.