Eraldius
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,120
- 906
Mh.Ngereja amesikika usiku wa manane wa kuamkia leo katika villa park night clab akitangaza live kwamba wamchague Jackson Masamaki.Wakazi wa Kirumba wanadai mh.pamoja na kuhutubia mkutano wa adhala jana haikutosha ukaona jukwaa la villa ndo litawashindisha.