klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Asiye na zambi awe wa kwanza kumlembea mawe mwenziwe, bwana asemakhaaaa! Rushwa zambi wewe.
Asiye na zambi awe wa kwanza kumlembea mawe mwenziwe, bwana asemakhaaaa! Rushwa zambi wewe.
Kwa hiyo.........
Asiye na zambi awe wa kwanza kumlembea mawe mwenziwe, bwana asema
toka lini ukajua lyrics za bwana. Lol.[/QUOTE
Amiini nakuambia, nikianza kuhubiri neno la bwana hapa, Jukwaa la dini litajaa kuliko jukwaa la wakubwa.
Nishawahi kuhubiri Kenya, Kibaki alilia sana.
We kloro hebu tutoke tuache kuchakachua sredi ya watu.
Mi huwa anapenda kupata ukweli, halafu huwa ukweli unauma kwa upande mwingine...............hapa kuna kaukweli flan bila shaka,wanawake wa wakorofi utawajua tu kwa coment zao!!!
Mimi ni Lawyer, ukiona nimechakachua sredi basi ujue hiyo sredi haijafikia qualification ya kuitwa sredi.
halaf hapo "hebu tutoke", pamenipandisha mzuka kweli, twende wapi mpenzi?
Jaman ninatatizo la kumfuatilia mdada anayeitwa HUSNINYO! Hasa kwenye coments zake,huyu mdada huwa anakuwaga na majibu yake ya kiaina yaan shortcut,mm huwa najiuliza huyu mdada ana mume au boyfriend kwn kimtazamo ni mwnmke anayependa ligi flan ktk mambo yake! Sasa ndio najiuliza huyu dada anaweza kuishi na mr or boyfrnd? Ni hayo tu!
uncle, nafikiri aunt ameshakufikishia proposal langu.
Hahahahahah lol! umeambiwa majibu yako mafupi hahahahah lol! Hebu refusha basi japo kidogo tu Huyu jamaa hata miezi miwili hajamaliza hapa jamvini lakini kishakusoma kiasi cha kukuanzishia uzi!!! labda alikuwa anafuatilia jumbe zako siku nyingi lol! Mie nakuona uko poa kabisa umetulia kama maji ya mtungini usibadilishe hiyo style yako ya uandishi.
Husninyo huyu mtu imekuaje sasa?
ile ya kwenda mapumzikoni? usijali imeshafika sasa hivi tunafanya logistics....jingine? (ila mapumzikoni sitaki uje sijui na lawyer Kloro wala uporoto...umesikia eeh? Bajeti ndogo)
Uko pamoja na mimi kuu, AAA astegemee kila mtu awe na majibu kama ya gf wake ama wyf wake, kama kila mtu ngekua anamwazo kama 333 then maana ya jukwaa haipo!
Husninyo huyu mtu imekuaje sasa?
Kamanda unajua nilisuspend mafaili ya MJ1 baada ya kwenda SRM na soulmate wake bila lawyer kuwa na taarifa rasmi?ile ya kwenda mapumzikoni? usijali imeshafika sasa hivi tunafanya logistics....jingine? (ila mapumzikoni sitaki uje sijui na lawyer Kloro wala uporoto...umesikia eeh? Bajeti ndogo)
Kumbe ? Sweetlady,mom King'asti,ashadii,kipipi,keren msinilaumu nikijiepusha na msongamano lol!thank youuuuuuuuuuuuuuu uncle. hao watanifanyia fujo kwanza, na wenyewe sitaki kuwasikia wala nini.
yaani BAK hii topic nafikiri ni zaidi ya style ya kuandika kwangu. Nway, perception zinatofautiana.