Triple A
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 766
- 147
Jaman ninatatizo la kumfuatilia mdada anayeitwa HUSNINYO! Hasa kwenye coments zake,huyu mdada huwa anakuwaga na majibu yake ya kiaina yaan shortcut,mm huwa najiuliza huyu mdada ana mume au boyfriend kwn kimtazamo ni mwnmke anayependa ligi flan ktk mambo yake! Sasa ndio najiuliza huyu dada anaweza kuishi na mr or boyfrnd? Ni hayo tu!