Kitendo cha wawekezaji kupewa miaka 10 ya kuchimba mafuta na gesi ndani ya nchi yetu bila kulipa
kodi kwa miaka kumi na serikali hii ya ccm ni kuuza nchi tena kwa bei rahisi, jamani vijana imefika
mahala pa kutoka kwenye sidelines na kuingia mitaani kuwaonyesha watawala hawa kuwa we
don't like what they are doing. Ni nchi gani duniani unaweza kuchukua rasimali zao kwa miaka kumi
for free ????. Serikali yetu inafanya haya kwa faida ya nani jamani ???.
kodi kwa miaka kumi na serikali hii ya ccm ni kuuza nchi tena kwa bei rahisi, jamani vijana imefika
mahala pa kutoka kwenye sidelines na kuingia mitaani kuwaonyesha watawala hawa kuwa we
don't like what they are doing. Ni nchi gani duniani unaweza kuchukua rasimali zao kwa miaka kumi
for free ????. Serikali yetu inafanya haya kwa faida ya nani jamani ???.