mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
Wakuu nina trekta langu naliuza.
Ni Massey Ferguson MF 375 horse power 75, ni zuri sana kwa ardhi ya TZ. Lina hali nzuri sana. Nilinunua jipya mwaka 2008, nikalitumia kwa miaka miwili tu, nikapata kazi ghafla nje ya nchi, usimamizi ukadorora uchakachuaji ukawa mwingi, nimeamua sasa niliuze tu. Hivi sasa lipo tu linafanyakazi ndogo ndogo tu za nyumbani. Lina kila kitu, yaani jembe, harrow, na tela la kubinua lenyewe (hydraulic trailer). Tafadhali serious buyer tu ndo ani-PM. Bei ni maelewano!
Angalizo: natanguliza samahani kwa atakayelihitaji kwa haraka kwani kwa sasa niko nje ya nchi, ila nategemea kuwa nchini tar 1 September hadi tar 29 November 2012. Kwahiyo kama ni kuliona au kulichukua, itabidi uwe mvumilivu kidogo kila kitu kifanyike ndani ya muda huo.
Ni Massey Ferguson MF 375 horse power 75, ni zuri sana kwa ardhi ya TZ. Lina hali nzuri sana. Nilinunua jipya mwaka 2008, nikalitumia kwa miaka miwili tu, nikapata kazi ghafla nje ya nchi, usimamizi ukadorora uchakachuaji ukawa mwingi, nimeamua sasa niliuze tu. Hivi sasa lipo tu linafanyakazi ndogo ndogo tu za nyumbani. Lina kila kitu, yaani jembe, harrow, na tela la kubinua lenyewe (hydraulic trailer). Tafadhali serious buyer tu ndo ani-PM. Bei ni maelewano!
Angalizo: natanguliza samahani kwa atakayelihitaji kwa haraka kwani kwa sasa niko nje ya nchi, ila nategemea kuwa nchini tar 1 September hadi tar 29 November 2012. Kwahiyo kama ni kuliona au kulichukua, itabidi uwe mvumilivu kidogo kila kitu kifanyike ndani ya muda huo.