Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Pole sna mrembo kiuno kuuma jaribu kuangalia inaweza kuwa mambo ya mwezi! hhiih ihihi usikasirike bana
binamu bwana
Mamushka delete haraka hii post kabla Invizibo hajaiona. Atafanya the needful ukamate kifungo!
Vipi ukimpeleka kwenye lile jukwaa lako akapiga tizi kidogo? Huenda vitu vimezidi vinahitaji kupunguzwa.Pole sna mrembo kiuno kuuma jaribu kuangalia inaweza kuwa mambo ya mwezi! hhiih ihihi usikasirike bana
we hommie kila engo unafiti. Sikujua kama we ni mjumbe wa bodi ya BAKITA!nimejaribu kuwa 'muadilifu' apo, wenyewe wanasema sijui tafsida, au ningesemaje Binamu!
Na wewe lini utaniletea sura yako niione niongeze ladha ya utamu wa valuu. Akili Kichwani yuko off line usiogope.eeeeeeeeeeeeeh mmmmmmmmmmmmmmmmmh haya bana
We chelewa tu. Utakutana na babu seya uso kwa uso. Shaurilako!Sasa hebu tuwe realistic mi nikideletenhapa na nyie mmenikoti???
afu tena me don understand hw this work maana post zake nyingine jina linaonekana
Hahaha! Mamushka bana!
Nasubiria ndoa ya AK na Pearl!
Lazima logistics zifanyike; BTW lini utanionyesha tena hiyo sura ya Maria Magdalene? Nimeimisi vibaya!
Vipi ukimpeleka kwenye lile jukwaa lako akapiga tizi kidogo? Huenda vitu vimezidi vinahitaji kupunguzwa.
we hommie kila engo unafiti. Sikujua kama we ni mjumbe wa bodi ya BAKITA!
Na wewe lini utaniletea sura yako niione niongeze ladha ya utamu wa valuu. Akili Kichwani yuko off line usiogope.
We chelewa tu. Utakutana na babu seya uso kwa uso. Shaurilako!
Kwa kweli tangu mwezi huu uanze hii ndio point uliyoitoa! Nyingine zote zilikuwa pumba. Nikiiona hiyo sura naamini dhambi zangu zote zitasamehewa!dah tufanye ze day after tumoro basi
the feeling z mutual nakwambia!!!
Vipi ukimpeleka kwenye lile jukwaa lako akapiga tizi kidogo? Huenda vitu vimezidi vinahitaji kupunguzwa.
we hommie kila engo unafiti. Sikujua kama we ni mjumbe wa bodi ya BAKITA!
Na wewe lini utaniletea sura yako niione niongeze ladha ya utamu wa valuu. Akili Kichwani yuko off line usiogope.
We chelewa tu. Utakutana na babu seya uso kwa uso. Shaurilako![/QUOTE]
na weee na goeff mkadelete vile vile!!! though nikifungiwa itanisaidia ila siwezi kuhimili mwee Mungu pishia mbali
afu biggy mbona hivo nimekwambia haya mapenzi bado machanga acha uchokozi bana
hahaaaaa bigy bana.............Kwa kweli tangu mwezi huu uanze hii ndio point uliyoitoa! Nyingine zote zilikuwa pumba. Nikiiona hiyo sura naamini dhambi zangu zote zitasamehewa!
Jamani nataka nini tena? Si kuiona hiyo sura nawe? Tena ukuje na twinushka wako ili Mungu anisamehe dhambi zote nilizotenda tangu nikiwa fom foo B shule ya sekondari ya kata Mbuyuni Sekandari skuli.ah ah ah saa utafanya niumwe mbavu duh!ww unataka nini?
Unacheeeeeeka afu unasahau kugonga kale ka fevareti batani ketu!hahaaaaa bigy bana.............
Jamani nataka nini tena? Si kuiona hiyo sura nawe? Tena ukuje na twinushka wako ili Mungu anisamehe dhambi zote nilizotenda tangu nikiwa fom foo B shule ya sekondari ya kata Mbuyuni Sekandari skuli.
afu biggy mbona hivo nimekwambia haya mapenzi bado machanga acha uchokozi bana
Lini? Siku yoyote ile ambayo haina limitation ya kunywa kabia ka baridi eti kwa kuwa tu kesho unatakiwa uwahi kibaruani kumtumikia mkoloni! LOLZ!jamani nimesema lini yani ww huachi vituko?
Unacheeeeeeka afu unasahau kugonga kale ka fevareti batani ketu!
muache tu mpendwa, sie watu wazima tumeishaamua hawezi kuturudisha nyuma........ hata hivyo anasaidia kuchangamsha thread......... ana sehemu yake ya kumshukuru ila tu aangalie asije akaijeruhi keyboard yake........... ni ushauri tu.
muache tu mpendwa, sie watu wazima tumeishaamua hawezi kuturudisha nyuma........ hata hivyo anasaidia kuchangamsha thread......... ana sehemu yake ya kumshukuru ila tu aangalie asije akaijeruhi keyboard yake........... ni ushauri tu.
X-PIN anatumia nguvu nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii WAKATI MNYANGE AMEDATA NA MIMI
Jamani nataka nini tena? Si kuiona hiyo sura nawe? Tena ukuje na twinushka wako ili Mungu anisamehe dhambi zote nilizotenda tangu nikiwa fom foo B shule ya sekondari ya kata Mbuyuni Sekandari skuli.
Unacheeeeeeka afu unasahau kugonga kale ka fevareti batani ketu!
homiie hapa idara yako tena hii!jamani nimesema lini yani ww huachi vituko?