Jamani naumwa

Pole sna mrembo kiuno kuuma jaribu kuangalia inaweza kuwa mambo ya mwezi! hhiih ihihi usikasirike bana:)
 
eeeeeeeeeeeeeh mmmmmmmmmmmmmmmmmh haya bana
Hahaha! Mamushka bana!
Nasubiria ndoa ya AK na Pearl!
Lazima logistics zifanyike; BTW lini utanionyesha tena hiyo sura ya Maria Magdalene? Nimeimisi vibaya!
 
Mamushka delete haraka hii post kabla Invizibo hajaiona. Atafanya the needful ukamate kifungo!

Sasa hebu tuwe realistic mi nikideletenhapa na nyie mmenikoti???
afu tena me don understand hw this work maana post zake nyingine jina linaonekana
 
Pole sna mrembo kiuno kuuma jaribu kuangalia inaweza kuwa mambo ya mwezi! hhiih ihihi usikasirike bana:)
Vipi ukimpeleka kwenye lile jukwaa lako akapiga tizi kidogo? Huenda vitu vimezidi vinahitaji kupunguzwa.

nimejaribu kuwa 'muadilifu' apo, wenyewe wanasema sijui tafsida, au ningesemaje Binamu!:D
we hommie kila engo unafiti. Sikujua kama we ni mjumbe wa bodi ya BAKITA!

eeeeeeeeeeeeeh mmmmmmmmmmmmmmmmmh haya bana
Na wewe lini utaniletea sura yako niione niongeze ladha ya utamu wa valuu. Akili Kichwani yuko off line usiogope.

Sasa hebu tuwe realistic mi nikideletenhapa na nyie mmenikoti???
afu tena me don understand hw this work maana post zake nyingine jina linaonekana
We chelewa tu. Utakutana na babu seya uso kwa uso. Shaurilako!
 
Hahaha! Mamushka bana!
Nasubiria ndoa ya AK na Pearl!
Lazima logistics zifanyike; BTW lini utanionyesha tena hiyo sura ya Maria Magdalene? Nimeimisi vibaya!

dah tufanye ze day after tumoro basi
the feeling z mutual nakwambia!!!
 
ah ah ah saa utafanya niumwe mbavu duh!ww unataka lini?
Vipi ukimpeleka kwenye lile jukwaa lako akapiga tizi kidogo? Huenda vitu vimezidi vinahitaji kupunguzwa.

we hommie kila engo unafiti. Sikujua kama we ni mjumbe wa bodi ya BAKITA!

Na wewe lini utaniletea sura yako niione niongeze ladha ya utamu wa valuu. Akili Kichwani yuko off line usiogope.

We chelewa tu. Utakutana na babu seya uso kwa uso. Shaurilako!
 
dah tufanye ze day after tumoro basi
the feeling z mutual nakwambia!!!
Kwa kweli tangu mwezi huu uanze hii ndio point uliyoitoa! Nyingine zote zilikuwa pumba. Nikiiona hiyo sura naamini dhambi zangu zote zitasamehewa!
 
Vipi ukimpeleka kwenye lile jukwaa lako akapiga tizi kidogo? Huenda vitu vimezidi vinahitaji kupunguzwa.

we hommie kila engo unafiti. Sikujua kama we ni mjumbe wa bodi ya BAKITA!

Na wewe lini utaniletea sura yako niione niongeze ladha ya utamu wa valuu. Akili Kichwani yuko off line usiogope.

We chelewa tu. Utakutana na babu seya uso kwa uso. Shaurilako![/QUOTE]

na weee na goeff mkadelete vile vile!!! though nikifungiwa itanisaidia ila siwezi kuhimili mwee Mungu pishia mbali

afu biggy mbona hivo nimekwambia haya mapenzi bado machanga acha uchokozi bana
 
Kwa kweli tangu mwezi huu uanze hii ndio point uliyoitoa! Nyingine zote zilikuwa pumba. Nikiiona hiyo sura naamini dhambi zangu zote zitasamehewa!
hahaaaaa bigy bana.............
 
ah ah ah saa utafanya niumwe mbavu duh!ww unataka nini?
Jamani nataka nini tena? Si kuiona hiyo sura nawe? Tena ukuje na twinushka wako ili Mungu anisamehe dhambi zote nilizotenda tangu nikiwa fom foo B shule ya sekondari ya kata Mbuyuni Sekandari skuli.
 
jamani nimesema lini yani ww huachi vituko?
Jamani nataka nini tena? Si kuiona hiyo sura nawe? Tena ukuje na twinushka wako ili Mungu anisamehe dhambi zote nilizotenda tangu nikiwa fom foo B shule ya sekondari ya kata Mbuyuni Sekandari skuli.
 
afu biggy mbona hivo nimekwambia haya mapenzi bado machanga acha uchokozi bana

muache tu mpendwa, sie watu wazima tumeishaamua hawezi kuturudisha nyuma........ hata hivyo anasaidia kuchangamsha thread......... ana sehemu yake ya kumshukuru ila tu aangalie asije akaijeruhi keyboard yake........... ni ushauri tu.
 
jamani nimesema lini yani ww huachi vituko?
Lini? Siku yoyote ile ambayo haina limitation ya kunywa kabia ka baridi eti kwa kuwa tu kesho unatakiwa uwahi kibaruani kumtumikia mkoloni! LOLZ!
 
Unacheeeeeeka afu unasahau kugonga kale ka fevareti batani ketu!

una ushahidi wewe biggy??? kakague uone sasa

muache tu mpendwa, sie watu wazima tumeishaamua hawezi kuturudisha nyuma........ hata hivyo anasaidia kuchangamsha thread......... ana sehemu yake ya kumshukuru ila tu aangalie asije akaijeruhi keyboard yake........... ni ushauri tu.

aaaah shemeji huyooooo
naona moyo wako kwatuuuuuuuuuu
 
X-PIN anatumia nguvu nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii WAKATI MNYANGE AMEDATA NA MIMI:D:D:D:D
 
muache tu mpendwa, sie watu wazima tumeishaamua hawezi kuturudisha nyuma........ hata hivyo anasaidia kuchangamsha thread......... ana sehemu yake ya kumshukuru ila tu aangalie asije akaijeruhi keyboard yake........... ni ushauri tu.

X-PIN anatumia nguvu nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii WAKATI MNYANGE AMEDATA NA MIMI:D:D:D:D

yupi huyo???
 
Jamani nataka nini tena? Si kuiona hiyo sura nawe? Tena ukuje na twinushka wako ili Mungu anisamehe dhambi zote nilizotenda tangu nikiwa fom foo B shule ya sekondari ya kata Mbuyuni Sekandari skuli.

do ze nidiful hommie

Unacheeeeeeka afu unasahau kugonga kale ka fevareti batani ketu!

si ndio hapo! B hebu ka do ze nidiful,,

jamani nimesema lini yani ww huachi vituko?
homiie hapa idara yako tena hii!:D
 
Back
Top Bottom