ngoja nirudi nyuma kiidoooogo nimtrace huyu mtuEEH bana tena wanatakiwa wawe na vifurushi vya matunda mbn ww hajasema G kama utakuja pia?
Tatizo unacheka sana wakati hujafunga kibwebwe, kiuno kitazidi kukaza. Shauri lakosi kiivyo but mnavyonichekesha napata nafuu kwakweli but itabidi nipite hsp maana acha tu
Mamushka unakaba mpaka penalti!umeanza kamchezo kaka chief editor eeeeeh!!!!???
Na Swahiba yangu Akili Kichwani ndo ushamtosa tena?a very understanding shemeji I have.....Geoff!!!!
Bado hujajua profesheni yake nyingine hii: Mzee Wa Logistics!YAANI leo ndo najua weewe ni mult-profesheni hivoo!!!!!
!!!shem mzima? naona chief editor wa JF yuko kazini......... tena leo kikazi zaidi........... shem tunauguza bwana twin wako sijui masaibu gani kapata leo......... au ndo baraka zenyewe????
Hapo kijana umekula Senksi kwa kujali maslahi yangu!UMEKULA SENKSI HAPOOOOOOOOOOO!utamuona x-pin,kaizer,fidel,nguli,js,charity,bht,gp,mj1,woooooooooooooote
Thanks my dear. Mee too!Twinuska yani hawa watu bana so funny,anywei I DO LOVE XPIN VERY MUCH
Logistics Zinazingatiwa!Hommie naona maslahi yangu hapo unayazingatia kama kawaida.....lol nime do ze nidiful tayari
Unafanya masihara na Hommie siyo?Mbona hukumalizia By DR injinia wa kiuno, sorry viuno........Kaizer?.
Tatizo unacheka sana wakati hujafunga kibwebwe, kiuno kitazidi kukaza. Shauri lako
Mamushka unakaba mpaka penalti!
Na Swahiba yangu Akili Kichwani ndo ushamtosa tena?
Bado hujajua profesheni yake nyingine hii: Mzee Wa Logistics!
!!!
Hapo kijana umekula Senksi kwa kujali maslahi yangu!
Thanks my dear. Mee too!
Logistics Zinazingatiwa!
Unafanya masihara na Hommie siyo?
shem mzima? naona chief editor wa JF yuko kazini......... tena leo kikazi zaidi........... shem tunauguza bwana twin wako sijui masaibu gani kapata leo......... au ndo baraka zenyewe????
mhhh! tena? kwenye red nimepapenda sana.afu na wewe umenichanganya sana ujue
thank God numekushtukia
tuendeleeeeee..............umenipa nguvu niendelee kuchezea keyboard
eeh dia napona pona but hata matunda?roho mby hiyo
nimekusoma kaka!mhhh! tena? kwenye red nimepapenda sana.
Pole mgonjwa Pearlu eeh! mwaya!
He! Kumbe kidume hiki?nimekusoma kaka!
TATIZO HILO JINA NI LA KIKE!TARAJIA PI-EMU ZA KUTONGOZWA KUTOKA KWA FIDEL NA GP
shem mie mzima....
mmh pole kuuguza jamani
ila twin wangu kwa kudeka na hivi sasa ndo kakupata mmmh but its all part ya mapenzi shem!!!
Kaka yeti huyo ni chief editor wa uhuru na mzalendo so huwa anajisahau saa nyingine kama hivo!!!
Ngoja nikaikonsalti TUKI!u pple for sure cnt live without u ea
Changarawe kwenye mdindifu!nimekusoma kaka!
TATIZO HILO JINA NI LA KIKE!TARAJIA PI-EMU ZA KUTONGOZWA KUTOKA KWA FIDEL NA GP
TATIZO HATA JUA!LABDA UMWAMBIE makamadolesi kwenye mikate.(dogo alikuwa na demu wake sista kilemba)Changarawe kwenye mdindifu!
stuka!!
Aaaah! Huko nlishahamaga nikahamia kwa shigongo. Nako nimepiga chini saizi niko FEMINA!shem mie mzima....
mmh pole kuuguza jamani
ila twin wangu kwa kudeka na hivi sasa ndo kakupata mmmh but its all part ya mapenzi shem!!!
Kaka yeti huyo ni chief editor wa uhuru na mzalendo so huwa anajisahau saa nyingine kama hivo!!!
haha.... muache adeke bwana ndo wakati wenyewe huu. mie bado kijana so no broblem hata mgongoni nitambeba....... yaani chinese style per se.
hyo bro nilidhani chief edita wa Shigongo kumbe FEMINA, nasikiaga wakishaedit manews yao wanaendaga bar kunywa valuu za kutosha!You are damn right. Umesahau tu jambo moja: KUDUMISHA MILA!
Tatizo unacheka sana wakati hujafunga kibwebwe, kiuno kitazidi kukaza. Shauri lako
Mamushka unakaba mpaka penalti!
Na Swahiba yangu Akili Kichwani ndo ushamtosa tena?
Bado hujajua profesheni yake nyingine hii: Mzee Wa Logistics!
!!!
Hapo kijana umekula Senksi kwa kujali maslahi yangu!
Thanks my dear. Mee too!
Logistics Zinazingatiwa!
Unafanya masihara na Hommie siyo?
binamu bwanaPole sana pearl
hapo kwenye kiuno, sababu inaweza kuwa stress, especially kama unakaa kwenye the same posture kwa muda mrefu (which I suspect), ni rahisi sana kupata maumivu chini ya uti wa mgongo (muscle spasms). kama haihusiani na mambo yenu ya wanawake sababu inaweza kuwa hiyo, so la kufanya, kama walivosema wengine ni kupata massage asb na jioni, kuna dawa flani hivi ya kupaka hapo (unaweza kuulizia duka la dawa au hosp) utakuwa okay tu. jaribu kuavoid kukaa sehemu moja muda mrefu, na pia angalia kama kuna kitu kinakusumbua kimawazo na hivyo kukusababishia stress, ukisolve.
asante
jamani Paco taratibu, haya mapenzi ya twin na AK bado machanga mbona hivi biggy?
Afu bibby kukaba si fani yangu lakini kama wewe na uhariri
heeeee ni GKUNDI HUYU!!!!!
hapa umekosea kidooooooooogooooo!na sheria za jf haziruhusuheeeee ni GKUNDI HUYU!!!!!