Jamani naumwa

Pole sana pearl

hapo kwenye kiuno, sababu inaweza kuwa stress, especially kama unakaa kwenye the same posture kwa muda mrefu (which I suspect), ni rahisi sana kupata maumivu chini ya uti wa mgongo (muscle spasms). kama haihusiani na mambo yenu ya wanawake sababu inaweza kuwa hiyo, so la kufanya, kama walivosema wengine ni kupata massage asb na jioni, kuna dawa flani hivi ya kupaka hapo (unaweza kuulizia duka la dawa au hosp) utakuwa okay tu. jaribu kuavoid kukaa sehemu moja muda mrefu, na pia angalia kama kuna kitu kinakusumbua kimawazo na hivyo kukusababishia stress, ukisolve.

asante
 
Pole sana pearl

hapo kwenye kiuno, sababu inaweza kuwa stress, especially kama unakaa kwenye the same posture kwa muda mrefu (which I suspect), ni rahisi sana kupata maumivu chini ya uti wa mgongo (muscle spasms). kama haihusiani na mambo yenu ya wanawake sababu inaweza kuwa hiyo, so la kufanya, kama walivosema wengine ni kupata massage asb na jioni, kuna dawa flani hivi ya kupaka hapo (unaweza kuulizia duka la dawa au hosp) utakuwa okay tu. jaribu kuavoid kukaa sehemu moja muda mrefu, na pia angalia kama kuna kitu kinakusumbua kimawazo na hivyo kukusababishia stress, ukisolve.

asante
shukrani DOKTA CHAPAKIUNO!:D:D:D
maelezo meeengi,hebu nitafute nikupe bia leo
 
thks ndugu, kama ni hivyo jaribu kuacha kuvaa viatu virefu kwa muda na pia kutokaa pahala pamoja kwa muda mrefu,jaribu kubadilisha kiti unachokalia kazini na lala sehemu ilionyooka flat( sakafuni) kwa mgongo kwa muda yaweza kusaidia kupunguza maumivu
 
thx dia nadhani ni kukaa sehem moja mda mreeeeeeeeeefu,c unajua viti vyenyewe unazunguka tu!thx will do that
Pole sana pearl

hapo kwenye kiuno, sababu inaweza kuwa stress, especially kama unakaa kwenye the same posture kwa muda mrefu (which I suspect), ni rahisi sana kupata maumivu chini ya uti wa mgongo (muscle spasms). kama haihusiani na mambo yenu ya wanawake sababu inaweza kuwa hiyo, so la kufanya, kama walivosema wengine ni kupata massage asb na jioni, kuna dawa flani hivi ya kupaka hapo (unaweza kuulizia duka la dawa au hosp) utakuwa okay tu. jaribu kuavoid kukaa sehemu moja muda mrefu, na pia angalia kama kuna kitu kinakusumbua kimawazo na hivyo kukusababishia stress, ukisolve.

asante
 
Pole sana pearl

hapo kwenye kiuno, sababu inaweza kuwa stress, especially kama unakaa kwenye the same posture kwa muda mrefu (which I suspect), ni rahisi sana kupata maumivu chini ya uti wa mgongo (muscle spasms). kama haihusiani na mambo yenu ya wanawake sababu inaweza kuwa hiyo, so la kufanya, kama walivosema wengine ni kupata massage asb na jioni, kuna dawa flani hivi ya kupaka hapo (unaweza kuulizia duka la dawa au hosp) utakuwa okay tu. jaribu kuavoid kukaa sehemu moja muda mrefu, na pia angalia kama kuna kitu kinakusumbua kimawazo na hivyo kukusababishia stress, ukisolve.

asante
Hehehe! Hommie Ulinambia uligradyueti MUCHS mwaka gani vile?:D:D

shukrani DOKTA CHAPAKIUNO!:D:D:D
maelezo meeengi,hebu nitafute nikupe bia leo
Hehehe! Dr. Kiuno kamwaga bonge la prescription!

UGUA POLE PEARL MWAYA!
 
Naomba ushauri jamani,yani mvua ikinyesha naumwa sana vichomi na pia nabanwa na kifua sana,lkn leo kiuno kinaniuma sana hata sijui tatizo ni nn,nisaidieni

Pole sana Pearl. Ingekuwa vizuri kwenda hospitali haraka ili wakaangalie kulikoni. Pole sana.
 
ths love yani maumivu yake sijawahi kupata b4,kweli bana watu hawakawii ku kot vby hasa G
pole gal, i think you need a strong massage down there (i mean kiunoni) lol, watu msije kuni- quote!
 
thx dia ntafuata ushauri wa Dr kaizer
Hehehe! Hommie Ulinambia uligradyueti MUCHS mwaka gani vile?:D:D

Hehehe! Dr. Kiuno kamwaga bonge la prescription!

UGUA POLE PEARL MWAYA!
 
Back
Top Bottom