nasri athumani
Member
- Jul 13, 2011
- 64
- 8
natafuta marafiki wakuchati nao, pamoja na kupeana komment za
ukweli? Mimwenyeji wa mwanza
ukweli? Mimwenyeji wa mwanza
Karbu sana jf members wote ni rafiki zako..natafuta marafiki wakuchati nao, pamoja na kupeana komment za
ukweli? Mimwenyeji wa mwanza
halafu wewe..!!Huku kila mtu ni kama jini
ndondocha is back permanently...natafuta marafiki wakuchati nao, pamoja na kupeana komment zaukweli? Mimwenyeji wa mwanza
Marafiki JF? nafikiri Facebook ndio wamejaa!!
Huku kila mtu ni kama jini
............siyo kweli,.....................mimi nimwenzetu na sii jini............Ahahahaaah!!! Kweli kabisa...