Coputer science ina nafasi nyingi tu za kazi, kumbuka kila ofisi inahitaji msomi wa computer, japo wasomi wakuwa wengi cku hizi, kinachojaliwa ni ujuzi wako binafsi. kama unaipenda na unasoma kwa moyo mmoja, hakutakuwa na tatizo kabisa. hata hivyo computer science inamruhusu mtu kujiajiri. so, komaa INATOA
computer science mkuu kwa bongo halina soko kwa sababu kampuni nyingi hununua software ....wanunua toka njee so
huwa hawana imani technician wa kibongo
soma computer science kaka asikwambie mtu inalipa tena ata ukijisomesha itarudisha gharama zako kwa muda mfupi tu pia ni rahisi kuingia kwenye professional nyingine juu yake tofaut ukisoma biashara utoweza kurudi kwenye computer science[h=2][/h]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.