Lala wewe,ureno hoyeeee
Lala wewe,ureno hoyeeee
@secretary ni tiba
Naona mnamtafuta byshyjaPiga gomba rubesa kama tatu na banana kama chupa tano na kiroba orijino moja
habari kwisha..
Semi faino mnapigwa na wajerumani.
Hoye kweli kweli
Ndio timu yangu kiukweli thats why niko macho nagonga ndofu hadi sasa
Jamani!!
Mi nilidhani mtu anaomba msaada palipo na shida, kumbee.................???
We kweli mganga wa kienyeji,umejuaje?
Sina jinsi wana jamvi nisaidieni,daktari kaniambia tiba pekee nilale shuka moja na mwanamke mwenye macho ya KICHINA,wadau mnanisaidiaje????????????????????????????